Both Chromium and Google Chrome support the same set of policies. Please note that this document may include policies that are targeted for unreleased software versions (i.e. their 'supported on' entry refers to an unreleased version) and that such policies are subject to change or removal without prior notice.
These policies are strictly intended to be used to configure instances of Google Chrome internal to your organization. Use of these policies outside of your organization (for example, in a publicly distributed program) is considered malware and will likely be labeled as malware by Google and anti-virus vendors.
These settings don't need to be configured manually! Easy-to-use templates for Windows, Mac and Linux are available for download from https://www.chromium.org/administrators/policy-templates.
The recommended way to configure policy on Windows is via GPO, although provisioning policy via registry is still supported for Windows instances that are joined to an Active Directory domain.
Jina la Sera | Maelezo |
Kidhibiti cha nenosiri | |
PasswordManagerEnabled | Wezesha kidhibiti cha nenosiri |
PasswordManagerAllowShowPasswords | Waruhusu watumiaji kuonyesha manenosiri katika Kidhibiti cha Manenosiri |
Kionyeshi chaguo-msngi cha HTML kwaGoogle Chrome Frame | |
ChromeFrameRendererSettings | Kionyeshi chaguo-msngi cha HTML kwaGoogle Chrome Frame |
RenderInChromeFrameList | Onyesha ruwaza zifuatazo za URL mara kwa mara katika Google Chrome Frame |
RenderInHostList | Onyesha ruwaza zifuatazo za URL mara kwa mara katika kivinjari cha mpangishaji |
AdditionalLaunchParameters | Vigezo vya ziada vya mstari wa amri vya Google Chrome |
SkipMetadataCheck | Ruka kuingia kwa metatagi katika Google Chrome Frame |
Kitoaji chaguo-msingi cha utafutaji | |
DefaultSearchProviderEnabled | Wezesha kitoaji chaguo-msingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderName | Kitoaji chaguo-msingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderKeyword | Nenomsingi la mtoa huduma chaguo-msingi wa utafutaji |
DefaultSearchProviderSearchURL | Mtoaji wa utafutaji chaguo-msingi wa URL ya utafutaji |
DefaultSearchProviderSuggestURL | Mtoa huduma chaguo-msingi wa utafutaji anapendekeza URL |
DefaultSearchProviderInstantURL | URL ya papo hapo ya kitoaji chaguo-msingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderIconURL | Ikoni ya mtoaji wa utafutaji chaguo-msingi |
DefaultSearchProviderEncodings | Usimbaji wa kitoaji chaguo-msingi cha utafutaji |
DefaultSearchProviderAlternateURLs | Orodha ya URL mbadala za mtoa huduma chaguo-msingi wa utafutaji. |
DefaultSearchProviderSearchTermsReplacementKey | Kigezo kinachodhibiti uwekaji wa hoja ya utafutaji kwa mtoa huduma ya utafutaji chaguo-msingi |
DefaultSearchProviderImageURL | Kigezo kinachotoa kipengele cha kutafuta kwa picha kwa mtoa huduma wa utafutaji chaguo-msingi |
DefaultSearchProviderNewTabURL | Mtoa huduma ya utafutaji chaguo-msingi ya URL ya ukurasa wa kichupo kipya |
DefaultSearchProviderSearchURLPostParams | Vigezo vya URL ya utafutaji inayotumia POST |
DefaultSearchProviderSuggestURLPostParams | Vigezo vya URL ya kupendekeza inayotumia POST |
DefaultSearchProviderInstantURLPostParams | Vigezo vya URL ya papo hapo inayotumia POST |
DefaultSearchProviderImageURLPostParams | Vigezo vya URL ya picha inayotumia POST |
Kurasa za kuanza | |
RestoreOnStartup | Kitendo kwa kuanza |
RestoreOnStartupURLs | URL za kufunguliwa unapooanza |
Mipangilio ya Maudhui | |
DefaultCookiesSetting | Mpangilio wa vidakuzi chaguo-msingi |
DefaultImagesSetting | Mpangilio chaguo-msingi wa picha |
DefaultJavaScriptSetting | Mpangilio chaguo-msingi wa JavaScript |
DefaultPluginsSetting | Mpangilio chaguo-msingi wa programu jalizi |
DefaultPopupsSetting | Mpangilio chaguo-msingi za ibukizi |
DefaultNotificationsSetting | Mpangilio wa arifa chaguo-msingi |
DefaultGeolocationSetting | Mpangilio chaguo-msingi wa eneo la kijiografia |
DefaultMediaStreamSetting | Mpangilio chaguo-msingi wa mkondomedia |
AutoSelectCertificateForUrls | Chagua kiotomatiki vyeti vya mteja vya tovuti hizi |
CookiesAllowedForUrls | Ruhusu vidakuzi kwenye tovuti hizi |
CookiesBlockedForUrls | Zuia vidakuzi katika tovuti hizi |
CookiesSessionOnlyForUrls | Ruhusu vidakuzi vya kipindi pekee kwenye tovuti hizi |
ImagesAllowedForUrls | Ruhusu picha katika tovuti hizi |
ImagesBlockedForUrls | Zuia picha katika tovuti hizi |
JavaScriptAllowedForUrls | Ruhusu JavaScript kwenye tovuti hizi |
JavaScriptBlockedForUrls | Zuia JavaScript kwenye tovuti hizi |
PluginsAllowedForUrls | Ruhusu programu jalizi kwenye tovuti hizi |
PluginsBlockedForUrls | Zuia programu jalizi katika tovuti hizi |
PopupsAllowedForUrls | Ruhusu ibukizi kwenye tovuti hizi |
RegisteredProtocolHandlers | Sajili vishikilizi vya itifaki |
PopupsBlockedForUrls | Zuia madirisha ibukizi kwenye tovuti hizi |
NotificationsAllowedForUrls | Ruhusu arifa katika tovuti hizi |
NotificationsBlockedForUrls | Zuia arifa katika tovuti hizi |
Mipangilio ya ufikiaji | |
ShowAccessibilityOptionsInSystemTrayMenu | Onyesha chaguo za ufikiaji katika menyu ya trei ya mfumo |
LargeCursorEnabled | Washa kishale kikubwa |
SpokenFeedbackEnabled | Wezesha maoni yaliyozungumzwa |
HighContrastEnabled | Wezesha modi ya juu ya kulinganua |
VirtualKeyboardEnabled | Washa kibodi ya skrini |
KeyboardDefaultToFunctionKeys | Vitufe vya media huelekeza kwenye vitufe vya vitendo kwa chaguo-msingi |
ScreenMagnifierType | Weka aina ya kikuza skrini |
DeviceLoginScreenDefaultLargeCursorEnabled | Weka hali chaguo-msingi ya kishale kikubwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultSpokenFeedbackEnabled | Weka hali chaguo-msingi ya maoni yanayotamkwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultHighContrastEnabled | Weka hali chaguo-msingi ya hali ya juu ya utofautishaji kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultVirtualKeyboardEnabled | Weka hali chaguo-msingi ya kibodi ya skrini kwenye skrini ya kuingia katika akaunti |
DeviceLoginScreenDefaultScreenMagnifierType | Weka aina ya kikuza skrini cha msingi kama kimewashwa kwenye skrini ya kuingia katika skrini |
Mipangilio ya watumiaji inayodhibitiwa kwa ndani | |
SupervisedUsersEnabled | Washa watumiaji wanaosimamiwa |
SupervisedUserCreationEnabled | Washa uundaji wa watumiaji wanaosimamiwa |
Ruhusu Google Chrome Frame kushughulikia aina zifuatazo za maudhui | |
ChromeFrameContentTypes | Ruhusu Google Chrome Frame kushughulikia aina za maudhui zilizoorodheshwa |
Sanidi chaguo za Hifadhi ya Google | |
DriveDisabled | Huzima Hifadhi ya Google katika programu ya Faili ya Google Chrome OS |
DriveDisabledOverCellular | Huzima Hifadhi ya Google kupitia miunganisho ya simu za mkononi katika programu ya Faili ya Google Chrome OS |
Sanidi chaguo za ufikiaji wa mbali | |
RemoteAccessClientFirewallTraversal | Wezesha kutamba kwa ngome kutoka kwa mteja wa mbali kufikiwa |
RemoteAccessHostFirewallTraversal | Inawezesha kutamba kwa ngome kutoka katika ufikivu wa mpangishaji wa mbali |
RemoteAccessHostDomain | Sanidi jina la kikoa linalohitajika kwa wapangishaji wa ufikivu wa mbali |
RemoteAccessHostRequireTwoFactor | Wezesha uthibitishaji wa vipengee viwili kwa wapangishaji wa ufikivu wa mbali |
RemoteAccessHostTalkGadgetPrefix | Sanidi kiambishi awali cha TalkGadget kwa ufikiaji wa wapangishaji wa mbali |
RemoteAccessHostRequireCurtain | Wezesha uzuiaji wa wapangishaji wa ufikiaji mbali. |
RemoteAccessHostAllowClientPairing | Enable or disable PIN-less authentication for remote access hosts |
RemoteAccessHostAllowGnubbyAuth | Allow gnubby authentication for remote access hosts |
RemoteAccessHostAllowRelayedConnection | Washa matumizi ya seva za relei kwa mpangishi wa ufikiaji wa mbali |
RemoteAccessHostUdpPortRange | Zuia masafa ya lango la UDP yaliyotumiwa na mpangishi wa ufikiaji wa mbali |
RemoteAccessHostMatchUsername | Requires that the name of the local user and the remote access host owner match |
RemoteAccessHostTokenUrl | URL where remote access clients should obtain their authentication token |
RemoteAccessHostTokenValidationUrl | URL for validating remote access client authentication token |
RemoteAccessHostTokenValidationCertificateIssuer | Client certificate for connecting to RemoteAccessHostTokenValidationUrl |
RemoteAccessHostDebugOverridePolicies | Policy overrides for Debug builds of the remote access host |
Sera za Uthibitishaji wa HTTP | |
AuthSchemes | Mipango inayohimiliwa ya uthibitishaji |
DisableAuthNegotiateCnameLookup | Lemaza kidokezo cha CNAME unapohawilisha uthibitishaji wa Kerberos |
EnableAuthNegotiatePort | Jumuisha lango lisiyo wastani katika Kerberos SPN |
AuthServerWhitelist | Orodha ya kuidhinisha ya seva ya uthibitishaji |
AuthNegotiateDelegateWhitelist | Orodha iliyoidhinishwa ya ukaumu wa seva ya Kerberos |
GSSAPILibraryName | Jina la maktaba ya GSSAPI |
AuthAndroidNegotiateAccountType | Account Type for Negotiate Authentication |
AllowCrossOriginAuthPrompt | Vishtuo vya Cross-origin HTTP Basic Auth |
Seva ya proksi | |
ProxyMode | Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva mbadala |
ProxyServerMode | Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva mbadala |
ProxyServer | Anwani au URL ya seva ya proksi |
ProxyPacUrl | URL hadi proksi ya faili ya .pac |
ProxyBypassList | Kanuni za ukwepaji proksi |
Ujumbe wa Asili | |
NativeMessagingBlacklist | Sanidi orodha ya wasioidhinishwa ya ujumbe asili |
NativeMessagingWhitelist | Sanidi orodha ya walioidhinishwa ya ujumbe asili |
NativeMessagingUserLevelHosts | Ruhusu wapangishi wa Ujumbe Asili wa ngazi ya mtumiaji (wanaosakinishwa bila idhini ya msimamizi). |
Ukurasa wa Kwanza | |
HomepageLocation | Sanidi URL ya ukurasa wa kwanza |
HomepageIsNewTabPage | Tumia Ukurasa Mpya wa Kichupo kama ukurasa wa kwanza |
Usimamizi wa nishati | |
ScreenDimDelayAC | Ufifili wa skrini unachelewesha wakati wa kuendesha kwa nishati ya AC |
ScreenOffDelayAC | Kuchelewa kwa kuzima skirini wakati nishati ya AC inapotumika |
ScreenLockDelayAC | Ufungaji wa skrini unachelewa wakati nishati ya AC inapotimika |
IdleWarningDelayAC | Onyo ya kuchelewa wakati wa kutokuwa na shughuli wakati wa kuendesha kwa nishati ya AC |
IdleDelayAC | Kutokuwa na shughuli kunachelewesha wakati wa kuendesha kwenye nishati ya AC |
ScreenDimDelayBattery | Ufifili wa skrini unachelewa wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
ScreenOffDelayBattery | Kuzimika kwa skrini kunachelewa wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
ScreenLockDelayBattery | Ufungaji wa skrini unachelewa wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
IdleWarningDelayBattery | Onyo ya kuchelewa wakati wa kutokuwa na shughuli wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
IdleDelayBattery | Kutokuwa na shughuli kunachelewesha wakati wa kuendesha kwa nishati ya betri |
IdleAction | Hatua ya kuchukua wakati ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli unapofikiwa |
IdleActionAC | Kitendo cha kuchukua ucheleweshwaji wa kutulia unapofikiwa wakati inaendeshwa kutumia nishati ya AC |
IdleActionBattery | Kitendo cha kuchukua wakati ucheleweshaji wa kutofanya kitu umefikiwa ikiendeshwa kutumia nishati ya betri |
LidCloseAction | Hatua ya kuchukua mtumiaji anapofunga mfuniko |
PowerManagementUsesAudioActivity | Bainisha iwapo shughuli za sauti zinaathiri udhibiti wa nishati |
PowerManagementUsesVideoActivity | Bainisha iwapo shughuli za video zinaathiri udhibiti wa nishati |
PresentationIdleDelayScale | Asilimia ya kupima kuchelewesha kwa mwanga wa skrini katika modi ya wasilisho (kimewacha kuendesha huduma) |
PresentationScreenDimDelayScale | Asilimia ya kupima kuchelewesha kwa mwanga wa skrini katika modi ya wasilisho |
AllowScreenWakeLocks | Ruhusu makufuli ya kuwasha skrini |
UserActivityScreenDimDelayScale | Asilimia ambayo mwangaza wa skrini utaongezwa uchelewaji iwapo mtumiaji anaanza kutumia baada ya kupunguza mwangaza |
WaitForInitialUserActivity | Subiri shughuli ya kwanza ya mtumiaji |
PowerManagementIdleSettings | Mipangilio ya kusimamia nishati mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu |
ScreenLockDelays | Ucheleweshaji wa kufunga sjrini |
Uthibitishaji wa Mbali | |
AttestationEnabledForDevice | Washa usahihishaji wa mbali wa kifaa |
AttestationEnabledForUser | Washa usahihishaji wa mbali kwa mtumiaji |
AttestationExtensionWhitelist | Viendelezi vinaruhusiwa kutumia API ya usahihishaji wa mbali |
AttestationForContentProtectionEnabled | Washa matumizi ya usahihishaji wa mbali wa kulinda maudhui ya kifaa |
Viendelezi | |
ExtensionInstallBlacklist | Sanidi orodha inayotiliwa shaka ya usakinishaji wa kiendelezi |
ExtensionInstallWhitelist | Sanidi orodha iliyoidhinishwa ya usakinishaji kiendelezi |
ExtensionInstallForcelist | Sanidi orodha ya viendelezi vilivyosakinishwa kwa nguvu |
ExtensionInstallSources | Sanidi viendelezi, programu, na vyanzo vya kusakinisha hati |
ExtensionAllowedTypes | Sanidi aina za programu/viendelezi zinazoruhusiwa |
AllowFileSelectionDialogs | Ruhusu ubatilishaji wa vidadisi vya uchaguzi wa faili |
AllowOutdatedPlugins | Ruhusu kuendesha programu jalizi ambazo zimepitwa na wakati. |
AlternateErrorPagesEnabled | Wezesha kurasa badala za hitilafu |
AlwaysAuthorizePlugins | Kila wakati inaendesha programu jalizi ambazo zinahitaji uidhinishaji. |
ApplicationLocaleValue | Lugha ya programu |
AudioCaptureAllowed | Ruhusu au upinge kurekodi sauti |
AudioCaptureAllowedUrls | URL ambazo zitapewa ufikiaji wa vifaa vya kunasa sauti bila ushawishi |
AudioOutputAllowed | Ruhusu kucheza sauti |
AutoCleanUpStrategy | Huchagua mkakati unaotumiwa kufuta baadhi ya faili ili kuacha nafasi wakati wa kufuta kiotomatiki (imekosolewa) |
AutoFillEnabled | Washa uwezo wa Kujaza kitomatiki |
BackgroundModeEnabled | Endelea kuendesha programu za mandharinyuma wakati Google Chrome imefungwa |
BlockThirdPartyCookies | Zuia vidakuzi vya wengine |
BookmarkBarEnabled | Wezesha Upau wa Alamisho |
BrowserAddPersonEnabled | Enable add person in profile manager |
BrowserGuestModeEnabled | Enable guest mode in browser |
BuiltInDnsClientEnabled | Tumia DNS teja ya kijenzi cha ndani |
CaptivePortalAuthenticationIgnoresProxy | Captive portal authentication ignores proxy |
ChromeOsLockOnIdleSuspend | Wawezesha kufunga wakati kifaa kinapokuwa hakifanyi kitu au kimesimamishwa |
ChromeOsMultiProfileUserBehavior | Dhibiti tabia ya mtumiaji katika kipindi cha wasifu nyingi |
ChromeOsReleaseChannel | Kituo cha Kutoa |
ChromeOsReleaseChannelDelegated | Ikiwa kituo cha kutoa kinastahili kusanidiwa na mtumiaji. |
ClearSiteDataOnExit | Futa data ya tovuti kwenye uzimaji wa kivinjari (imepingwa) |
CloudPrintProxyEnabled | Wezesha proksi ya Google Cloud Print |
CloudPrintSubmitEnabled | Wezesha uwasilishaji wa nyaraka kwenye Google Cloud Print |
ContextualSearchEnabled | Enable Touch to Search |
DataCompressionProxyEnabled | Washa kipengee cha proksi cha upunguzaji wa data |
DefaultBrowserSettingEnabled | Weka Google Chrome kama Kivinjari Chaguo-msingi |
DeveloperToolsDisabled | Lemaza Zana za Wasanidi Programu |
DeviceAllowNewUsers | Ruhusu uundaji wa akaunti mpya za mtumiaji |
DeviceAllowRedeemChromeOsRegistrationOffers | Ruhusu watumiaji kukomboa matoleo kupitia Usajili wa Mfumo wa Uendeshaji wa Chrome |
DeviceAppPack | Orodha ya viendelezi vya AppPack |
DeviceAutoUpdateDisabled | Inalemaza Kusasisha Otomatiki |
DeviceAutoUpdateP2PEnabled | Usasishaji kiotomatiki wa P2P umewashwa |
DeviceBlockDevmode | Zuia hali ya wasanidi programu |
DeviceDataRoamingEnabled | Wezesha utumiaji wa data nje ya mtandao wako wa kawaida |
DeviceEphemeralUsersEnabled | Futa data ya mtumiaji unapoondoka |
DeviceGuestModeEnabled | Wezesha modi ya wageni |
DeviceIdleLogoutTimeout | Muda umekwisha mpaka uondokaji wa kuingia kusikotumika kutekelezwe |
DeviceIdleLogoutWarningDuration | Muda wa ujumbe wa tahadhari wa kuondoka tulivu |
DeviceLocalAccountAutoLoginBailoutEnabled | Washa njia ya mkato ya kibodi ya usaidizi wa kuingia otomatiki |
DeviceLocalAccountAutoLoginDelay | Saa ya kipindi cha umma cha uingiaji otomatiki |
DeviceLocalAccountAutoLoginId | Kipindi cha umma cha uingiaji otomatiki |
DeviceLocalAccountPromptForNetworkWhenOffline | Washa ombi la usanidi wa mtandao inapokuwa nje ya mtandao |
DeviceLocalAccounts | Akaunti za kifaa cha karibu nawe |
DeviceLoginScreenDomainAutoComplete | Enable domain name autocomplete during user sign in |
DeviceLoginScreenPowerManagement | Udhibiti wa nishati kwenye skrini ya kuingia |
DeviceLoginScreenSaverId | Seva ya skrini kutumiwa kwenye skrini ya kuingia katika modi rejareja |
DeviceLoginScreenSaverTimeout | Muda wa shughuli kabla ya seva ya skrini kuonyeshwa kwenye skrini ya kuingia katika modi ya rejareja |
DeviceMetricsReportingEnabled | Wezesha kuripoti kwa metriki |
DeviceOpenNetworkConfiguration | Usanidi wa mtandao wa kiwango cha kifaa |
DevicePolicyRefreshRate | Onyesha upya kiwango cha Sera ya Kifaa |
DeviceRebootOnShutdown | Automatic reboot on device shutdown |
DeviceShowUserNamesOnSignin | Onyesha majina ya watumiaji kwenye skrini ya kuingia |
DeviceStartUpFlags | Ishara za mfumo mzima zitatumika wakati wa kuanzisha Google Chrome |
DeviceStartUpUrls | Pakia url maalum kwenye onyesho la kuingia. |
DeviceTargetVersionPrefix | Toleo Lengwa la Kusasisha Otomatiki |
DeviceTransferSAMLCookies | Transfer SAML IdP cookies during login |
DeviceUpdateAllowedConnectionTypes | Aina za miunganisho zinazoruhusiwa kwa visasisho |
DeviceUpdateHttpDownloadsEnabled | Ruhusu vipakuliwa vya kusasisha kiotomatiki kupitia HTTP |
DeviceUpdateScatterFactor | Sasisha kiotomatiki kipengee cha kutawanya |
DeviceUserWhitelist | Ingia kwenye orodha ya kutoa idhini ya mtumiaji |
Disable3DAPIs | Lemaza uhimili wa API za michoro ya 3D |
DisablePluginFinder | Bainisha iwapo kitafutaji programu jalizi kinafaa kulemazwa |
DisablePrintPreview | Disable Print Preview (deprecated) |
DisableSSLRecordSplitting | Lemaza ugawanyaji wa rekodi ya SSL |
DisableSafeBrowsingProceedAnyway | Lemaza kuendelea kutoka kwenye ukurasa wa ilani ya Kuvinjari Salama |
DisableScreenshots | Zima upigaji picha za skrini |
DisableSpdy | Lemaza itifaki ya SPDY |
DisabledPlugins | Bainisha orodha ya programu jalizi zilizolemazwa |
DisabledPluginsExceptions | Bainisha orodha ya programu jalizi ambayo mtumiaji anaweza kuwezesha au kulemaza |
DisabledSchemes | Lemaza mipango ya itifaki ya URL |
DiskCacheDir | Weka saraka ya akiba ya diski |
DiskCacheSize | Weka ukubwa wa akiba ya diski katika baiti |
DnsPrefetchingEnabled | Wezesha ubashiri wa mtandao |
DownloadDirectory | Weka saraka ya kupakua |
EasyUnlockAllowed | Allows Smart Lock to be used |
EditBookmarksEnabled | Inawezesha au kulemaza uhariri wa alamisho |
EnableDeprecatedWebBasedSignin | Huwasha kuingia katika akaunti kulingana na wavuti |
EnableDeprecatedWebPlatformFeatures | Washa vipengele visivyotumika vya mbinu ya wavuti kwa muda mfupi |
EnableOnlineRevocationChecks | Ikiwa ukaguzi wa mtandaoni wa OCSP/CRL umeatekelezwa |
EnabledPlugins | Bainisha orodha ya programu jalizi zilizowezeshwa |
EnterpriseWebStoreName | Jina la biashara la duka la wavuti (limeacha kuendesha huduma) |
EnterpriseWebStoreURL | URL ya duka la wavuti la biashara (imeacha kuendesha huduma) |
ExtensionCacheSize | Set Apps and Extensions cache size (in bytes) |
ExternalStorageDisabled | Lemaza uangikaji wa hifadhi ya nje |
ForceEphemeralProfiles | Mfumo wa Muda Mfupi |
ForceGoogleSafeSearch | Force Google SafeSearch |
ForceMaximizeOnFirstRun | Maximize the first browser window on first run |
ForceSafeSearch | Lazimisha SafeSearch |
ForceYouTubeSafetyMode | Force YouTube Safety Mode |
FullscreenAllowed | Ruhusu hali ya skrini nzima |
GCFUserDataDir | Weka saraka ya data ya mtumiaji wa Google Chrome Frame |
HardwareAccelerationModeEnabled | Tumia uongezaji kasi wa maunzi wakati unapatikana |
HeartbeatEnabled | Send monitoring heartbeats to the management server |
HeartbeatFrequency | Frequency of monitoring heartbeats |
HideWebStoreIcon | Ficha duka la wavuti kwenye ukurasa mpya wa kichupo na kifungua programu cha Chrome |
HideWebStorePromo | Zuia utambulishaji dhidi ya kuonekana kwenye ukurasa mpya wa kichupo |
ImportAutofillFormData | Import autofill form data from default browser on first run |
ImportBookmarks | Ingiza alamisho kutoka kivinjari chaguo-msingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
ImportHistory | Leta historia ya kivinjari kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
ImportHomepage | Leta ukurasa wa mwanzo kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi kwenye uendeshaji wa kwanza |
ImportSavedPasswords | Leta manenosiri yaliyohifadhiwa kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi kwenye uendeshaji wa kwanza |
ImportSearchEngine | Leta injini za utafutaji kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi wakati wa uendeshaji wa kwanza |
IncognitoEnabled | Washa hali Fiche |
IncognitoModeAvailability | Upatikanaji wa hali fiche |
InstantEnabled | Wezesha Papo hapo |
JavascriptEnabled | Wezesha JavaScript |
KeyPermissions | Key Permissions |
LogUploadEnabled | Send system logs to the management server |
ManagedBookmarks | Alamisho Zinazosimamiwa |
MaxConnectionsPerProxy | Kiwango cha juu kabisa cha miunganisho ya wakati mmoja kwenye seva ya proksi |
MaxInvalidationFetchDelay | Upeo wa juu wa ucheleweshaji wa kuleta baada ya kutothibitisha sera |
MediaCacheSize | Weka ukubwa wa akiba ya diski ya media katika vipimo vya baiti |
MetricsReportingEnabled | Wezesha kuripoti kwa matumizi na data zinazohusu mvurugiko |
NetworkPredictionOptions | Wezesha ubashiri wa mtandao |
OpenNetworkConfiguration | Usanidi mtandao wa kiwango cha mtumiaji |
PinnedLauncherApps | Orodha ya programu zilizobanwa ili kuonekana kwenye kizunduzi |
PolicyRefreshRate | Kiwango cha kuonyesha upya kwa sera ya mtumiaji |
PrintingEnabled | Wezesha uchapishaji |
QuicAllowed | Allows QUIC protocol |
RebootAfterUpdate | Zima na uwashe tena otomatiki baada ya kusasisha |
ReportDeviceActivityTimes | Ripoti muda wa shughuli za kifaa |
ReportDeviceBootMode | Ripoti modi ya kuwasha kifaa |
ReportDeviceHardwareStatus | Report hardware status |
ReportDeviceNetworkInterfaces | Ripoti violesura vya mtandao wa kifaa |
ReportDeviceSessionStatus | Report information about active kiosk sessions |
ReportDeviceUsers | Ripoti watumiaji wa kifaa |
ReportDeviceVersionInfo | Ripoti OS na toleo la programu dhibiti |
ReportUploadFrequency | Frequency of device status report uploads |
RequireOnlineRevocationChecksForLocalAnchors | Iwapo ukaguzi wa OCSP/CRL mtandaoni unahitajika kwa nanga za uaminifu za karibu |
RestrictSigninToPattern | Zuia ni watumiaji wapi ambao wanaruhusiwa kuingia kwenye Google Chrome |
SAMLOfflineSigninTimeLimit | Weka kikomo cha muda ambao mtumiaji aliyethibitishwa kupitia SAML anaweza kuingia katika akunti nje ya mtandaoni |
SSLErrorOverrideAllowed | Allow proceeding from the SSL warning page |
SSLVersionFallbackMin | Minimum TLS version to fallback to |
SSLVersionMin | Minimum SSL version enabled |
SafeBrowsingEnabled | Wezesha Kuvinjari Salama |
SafeBrowsingExtendedReportingOptInAllowed | Allow users to opt in to Safe Browsing extended reporting |
SavingBrowserHistoryDisabled | Lemaza kuhifadhi historia ya kivinjari |
SearchSuggestEnabled | Wezesha mapendekezo ya utafutaji |
SessionLengthLimit | Punguza urefu wa kipindi |
SessionLocales | Set the recommended locales for a public session |
ShelfAutoHideBehavior | Dhibiti kujificha kitomatiki kwa rafu |
ShowAppsShortcutInBookmarkBar | Onyesha njia ya mkato katika sehemu ya alamisho |
ShowHomeButton | Onyesha kitufe cha Mwazo kwenye upauzana |
ShowLogoutButtonInTray | Ongeza kitufe cha kuondoka kwenye chano la mfumo |
SigninAllowed | Huruhusu kuingia katika Google Chrome |
SpellCheckServiceEnabled | Wezesha au lemaza huduma ya wavuti ya ukaguzi tahajia |
SuppressChromeFrameTurndownPrompt | Didimiza kukataa kuuliza kwa Google Chrome Frame |
SyncDisabled | Lemaza usawazishaji wa data iliyna Google |
SystemTimezone | Saa za eneo: |
SystemUse24HourClock | Tumia saa ya saa 24 kwa chaguo-msingi |
TermsOfServiceURL | Weka Sheria na Masharti kwa akaunti ya kifaa cha karibu nawe |
TouchVirtualKeyboardEnabled | Wezesha kibodi isiyobayana |
TranslateEnabled | Wezesha Tafsiri |
URLBlacklist | Zuia ufikivu kwenye orodha za URL |
URLWhitelist | Inaruhusu kufikia orodha ya URL |
UptimeLimit | Wekea kifaa vizuizi vya muda wa kuwaka kwa kuzima na kuwasha kiotomatiki |
UserAvatarImage | Picha ya ishara ya mtumiaji |
UserDataDir | Weka saraka ya data ya mtumiaji |
UserDisplayName | Weka jina la onyesho kwa ajili ya akaunti za kifaa cha karibu |
VideoCaptureAllowed | Ruhusu au ukatae kurekodi video |
VideoCaptureAllowedUrls | URL ambazo zitapewa ufikiaji wa vifaa vya kunasa video bila ushawishi |
WPADQuickCheckEnabled | Washa uboreshaji wa WPAD |
WallpaperImage | Picha ya mandhari |
WelcomePageOnOSUpgradeEnabled | Enable showing the welcome page on the first browser launch following OS upgrade. |
Inawezesha kuhifadhi manenosiri na kutumia mamenosiri yaliyohifadhiwa katika Google Chrome.
Ukiwezesha mpangilio huu, watumiaji wanaweza kuiwezesha Google Chrome kukumbuka na kuyatoa manenosiri moja kwa moja wakati mwingine wanapoingia katika tovuti.
Ukilemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kuhifadhi manenosiri au kutumia maenosiri ambayo tayari yamehifadhiwa.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, itawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inadhibiti ikiwa mtumiaji anaweza kuonyesha nenosiri katika maandishi yaliyo wazi ndani ya kidhibiti cha nenosiri.
Ukilemaza mpangilio huu, kidhibiti cha nenosiri hakiruhusu kuonyesha manenosiri yaliyohifadhiwa katika maandishi yaliyo wazi ndani ya dirisha la kidhibiti cha nenosiri.
Ukiwezesha au usipoweka sera hii, watumiaji wanaweza kuona manenosiri yao katika maandishi yaliyo wazi ndani ya kidhibiti cha nenosiri.
Inakuruhusu kusanidi kitoaji cha HTML chaguo-msingi wakati Google Chrome Frame imesakinishwa. Mpangilio chaguo-msingi unaotumiwa wakati sera hii inasalia kama haijawekwa ni kuruhusu kivinjari kipangishaji kutekeleza uonyeshaji, lakini unaweza kufuta kwa hiari hii na uwe na kurasa za kionyeshi Google Chrome Frame cha HTML kwa chaguo-msingi.
Customize the list of URL patterns that should always be rendered by Google Chrome Frame.
If this policy is not set the default renderer will be used for all sites as specified by the 'ChromeFrameRendererSettings' policy.
For example patterns see https://www.chromium.org/developers/how-tos/chrome-frame-getting-started.
Customize the list of URL patterns that should always be rendered by the host browser.
If this policy is not set the default renderer will be used for all sites as specified by the 'ChromeFrameRendererSettings' policy.
For example patterns see https://www.chromium.org/developers/how-tos/chrome-frame-getting-started.
Inakuruhusu kubainisha kigezo za ziada ambazo ziinatumika wakati Google Chrome Frame inazindua Google Chrome.
Ikiwa sera hii haijawekwa mpangilio wa amri chaguo-msingi utatumika.
Kwa kawaida kurasa Zinazooana na X-UA zilizowekwa kwa chrome=1 zitaonyeshwa katika Google Chrome Frame bila kujali sera ya 'ChromeFrameRendererSettings'.
Ukiwasha mpangilio huu, kurasa hazitachanganuliwa kwa metatagi.
Ukizima mpangilio huu, kurasa zitachanganuliwa kwa metatagi.
Kama sera hii haitawekwa, kurasa zitachanganuliwa kwa metatagi.
Enables the use of a default search provider.
If you enable this setting, a default search is performed when the user types text in the omnibox that is not a URL.
You can specify the default search provider to be used by setting the rest of the default search policies. If these are left empty, the user can choose the default provider.
If you disable this setting, no search is performed when the user enters non-URL text in the omnibox.
If you enable or disable this setting, users cannot change or override this setting in Google Chrome.
If this policy is left not set, the default search provider is enabled, and the user will be able to set the search provider list.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to an Active Directory domain.
Inabainisha jina la mtoaji wa utafutaji chaguo -msingi. Likiachwa tupu au bila kuwekwa, jina la mpangishaji lililobainishwa na URL ya utafutaji litatumiwa.
Sera hii inazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' itawezeshwa.
Hubainisha neno muhimu, ambalo ni njia mkato inayotumiwa katika SanduKuu kusisimua utafutaji kwa mtoa huduma huyu.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haijawekwa, hakuna neno muhimu litakaloamilisha mtoa huduma ya utafutaji.
Sera hii inazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Hubainisha URL ya mtambo wa kutafuta inayotumika unapofanya utafutaji chaguo-msingi. URL inafaa kujumlisha maneno '{searchTerms}', ambayo nafasi yake inachukuliwa wakati wa kuandika hoja ya maneno ambayo mtumiaji atakuwa akitafuta.
Chaguo hili sharti liwekwe wakati sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa na itazingatiwa tu ikiwa hii ndiyo hali.
Hubainisha URL ya mtambo wa kutafuta inayotumika ili kutoa mapendekezo ya utafutaji. URL inafaa kujumlisha maneno '{searchTerms}', ambayo nafasi yake itachukuliwa wakati wa kuandika hoja na maandishi ambayo mtumiaji atakuwa ameingiza kufikia wakati huo.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haijawekwa, hakuna URL ya mapendekezo itakayotumika.
Hii inazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha URL ya mtambo wa kutafuta inayotumiwa kutoa matokeo ya papo hapo. URL itakuwa na maneno '{searchTerms}', ambayo nafasi yake itachukuliwa wakati wa kuandika hoja na maandishi ambayo mtumiaji atakuwa ameingiza kufikia wakati huo.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, hakuna matokeo ya utafutaji ya papo hapo yatatolewa.
Sera hii itazingatiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' itawashwa.
Inabainisha ikoni ya URL pendwa ya mtoaji chaguo-msingi wa utafutaji.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haitawekwa, hakuna ikoni itakayokuwepo kwa mtojai wa utafutaji.
Sera hii inafuatiliwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Inabainisha usimbaji wa vibambo unaohimiliwa na kitoaji cha utafutaji. Usimbaji ni majini ya ukurasa msimbo kama UTF-8, GB2312, na ISO-8859-1. Yanajaribiwa katika mpangilio uliotolewa.
Sera hii ni ya hiari. Ikiwa haijawekwa, chaguo-msingi itatumika ambayo nis UTF-8.
Sera hii inaheshimiwa tu ikiwa sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Hubainisha orodha ya URL mbadala zinazoweza kutumiwa ili kupata taminolijia za utafutaji kutoka kwenye mtambo wa kutafuta. URL zinafaa kuwa na maneno '{searchTerms}', ambayo yatatumika kupata taminolojia za utafutaji.
Sera hii ni ya hiari, Iwapo haijawekwa, hakuna url mbadala zitazotumika kupata hoja za utafutaji.
Sera hii inazingatiwa tu iwapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Sera hii ikiwekwa na URL ya utafutaji inayopendekezwa kutoka kwenye sandukuu iwe na kigezo hiki katika mtiririko wa hoja au katika kitambulishi cha kipande, basi pendekezo litaonyesha maneno ya utafutaji na mtoa huduma ya utafutaji badala ya URL ya utafutaji ghafi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, mabadiliko ya hoja ya utafutaji hayatatekelezwa.
Sera hii inaheshimiwa tu iwapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewezeshwa.
Hubainisha URL ya injini tafuti inayotumika kutoa utafutaji kwa picha. Maombi ya utafutaji yatatumwa kwa kutumia mbinu ya GET. Kama sera ya DefaultSearchProviderImageURLPostParams imewekwa basi maombi ya utafutaji kwa picha yatatumia mbinu ya POST badala yake.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, hakuna utafutaji kwa picha utakaotumika.
Sera hii itatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha URL ambayo injini ya utafutaji inatumia kutoa ukurasa mpya wa kichupo.
Sera hii ni ya hiari. Kama haitawekwa, hakuna ukurasa mpya wa kichupo utatolewa.
Sera hii inatumika tu kama sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kutafuta URL kwa kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama {Hoja za utafutaji} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya hoja za utafutaji halisi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji litatumwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kufanya utafutaji kwa mapendekezo kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama, {Hoja za utafutaji} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya hoja za utafutaji halisi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji kwa mapendekezo litatumwa kwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kufanya utafutaji wa papo hapo kwa kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama {Hoja za utafutaji} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya hoja za utafutaji za kweli.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji wa papo hapo litatumwa kwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Hubainisha vigezo vinavyotumika wakati wa kufanya utafutaji kwa picha kutumia POST. Ina vikundi vya jina/thamani vinavyotenganishwa na koma. Kama thamani ni kigezo cha kiolezo, kama {Kijipicha} katika mfano hapo juu, itabadilishwa na data ya kijipicha cha picha halisi.
Sera hii ni ya hiari. Isipowekwa, ombi la utafutaji kwa picha litatumwa kwa kutumia mbinu ya GET.
Sera hii inatumika tu endapo sera ya 'DefaultSearchProviderEnabled' imewashwa.
Allows you to specify the behavior on startup.
If you choose 'Open New Tab Page' the New Tab Page will always be opened when you start Google Chrome.
If you choose 'Restore the last session', the URLs that were open last time Google Chrome was closed will be reopened and the browsing session will be restored as it was left. Choosing this option disables some settings that rely on sessions or that perform actions on exit (such as Clear browsing data on exit or session-only cookies).
If you choose 'Open a list of URLs', the list of 'URLs to open on startup' will be opened when a user starts Google Chrome.
If you enable this setting, users cannot change or override it in Google Chrome.
Disabling this setting is equivalent to leaving it not configured. The user will still be able to change it in Google Chrome.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to an Active Directory domain.
If 'Open a list of URLs' is selected as the startup action, this allows you to specify the list of URLs that are opened. If left not set no URL will be opened on start up.
This policy only works if the 'RestoreOnStartup' policy is set to 'RestoreOnStartupIsURLs'.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to an Active Directory domain.
Allows you to set whether websites are allowed to set local data. Setting local data can be either allowed for all websites or denied for all websites.
If this policy is set to 'Keep cookies for the duration of the session' then cookies will be cleared when the session closes. Note that if Google Chrome is running in 'background mode', the session may not close when the last window is closed. Please see the 'BackgroundModeEnabled' policy for more information about configuring this behavior.
If this policy is left not set, 'AllowCookies' will be used and the user will be able to change it.
Inakuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuonyesha picha. Kuonyesha picha kunaweza kuwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AllowImages' zitatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuendesha JavaScript. Kuendesha JavaScript kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AllowJavaScript' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka ikiwa tovuti zinaruhusiwa kuendesha programu jalizi kiotomatiki. Kuendesha programu jalizi kiotomatiki kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Bofya ili kuruhusu programu jalizi kuendesha lakini lazima mtumiaji azibofye ili kuanzisha kutumika kwazo.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, 'AllowPlugins' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka ikiwa tovuti zinaruhusiwa kuonyesha ibukizi. Kuonyesha ibukizi kunaweza kuruhusiwa kwa tovuti zote au kukataliwa kwa tovuti zote.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, 'BlockPopups' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka iwapo tovuti zinaruhusiwa kuonyesha arifa. Kuonyesha arifa za eneo-kazi kunaweza kuruhusiwa kwa chaguo-msingi, kukataliwa kwa chaguo-msingi au mtumiaji anawewa kuulizwa kila wakati tovuti inayotaka kuonyesha arifa za eneo-kazi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AskNotifications' itatumika na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inaruhusu iwapo tovuti zinaruhusiwa kufuatilia eneo halisi la mtumiaji. Kufuatilia eneo halisi la mtumiaji kunaweza kuruhusiwa kwa chaguo-msingi, kukataliwa kwa chaguo-msingi au mtumiaji anaweza kuulizwa kila wakati tovuti ambayo inaomba eneo halisi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa, 'AskGeolocation' itatumika na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kuweka ikiwa tovuti zinaruhusiwa kufikia vifaa vya media vya kunasa. Ufikivu wa vifaa vya media vya kunasa unaweza kuruhusiwa kwa chaguo-msingi, au mtumiaji anaweza kuulizwa kila wakati tovuti inapotaka kufikia vifaa vya media vya kunasa.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, 'PromptOnAccess' itatumiwa na mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inakuruhusu kubanisha orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo Google Chrome inafaa kuteua kiotomatiki vyeti vya mteja, ikiwa tovuti inaomba cheti.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa uteuzi kiotomatiki utafanyika kwa tovuti yoyote.
Inakuruhusu kuweka ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kuweka vidakuzi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani chaguo-msingi ya ulimwenguni itatumiwa kwa tovuti zote aidha kutoka kwenye sera ya 'DefaultCookiesSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zisizoruhusiwa kuweka vidakuzi.
Ikiwa sera hii itaachwa bila thamani chaguo-msingi yote itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultCookiesSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Allows you to set a list of url patterns that specify sites which are allowed to set session only cookies.
If this policy is left not set the global default value will be used for all sites either from the 'DefaultCookiesSetting' policy if it is set, or the user's personal configuration otherwise.
Note that if Google Chrome is running in 'background mode', the session may not be closed when the last browser window is closed, but will instead stay active until the browser exits. Please see the 'BackgroundModeEnabled' policy for more information about configuring this behavior.
If the "RestoreOnStartup" policy is set to restore URLs from previous sessions this policy will not be respected and cookies will be stored permanently for those sites.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zinazoruhusiwa kuonyesha picha.
Ikiwa sera hii itaachwa bila thamani chaguo-msingi yote itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultImageSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo haziruhusiwi kuonyesha picha.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani chaguo-msingi ya ulimwenguni itatumiwa aidha kutoka kwenye sera ya 'DefaultImagesSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kuendesha JavaScript.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultJavaScriptSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo haziruhusiwi kuendesha JavaScript.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani chaguo-msingi ya ulimwenguni itatumiwa aidha kutoka kwenye sera ya 'DefaultJavaScriptSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinaruhusiwa kuendesha programu jalizi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPluginsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinaruhusiwa kuendesha programu jalizi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPluginsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kufungua ibukizi.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPopupsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Hukuruhusu kusajili orodha ya vishikilizi vya itifaki. Hii inaweza kuwa sera iliyopendekezwa pekee. Sifa |protocol| inastahili kuwekwa kuwa mpango kama vile 'mailto' na sifa |url| inastahili kuwekwa kuwa mpangilio wa URL ya programu inayoshikilia mpango. Mpangilio unajumuisha '%s', ambayo ikiwepo itabadilishwa na URL iliyoshikiliwa.
Vishikilizi vya itifaki vilivyosajiliwa na sera vinaunganishwa na vilivyosajiliwa na mtumiaji na vyote viwili vinapatikana kwa matumizi. Mtumiaji anaweza kubatilisha vishikilizi vya itifaki vilivyosakinishwa na sera kwa kusakinisha kishikilizi kipya cha chaguo-msingi, lakini hawezi kuondoa kishikilizi cha itifaki kilichosajiliwa na sera.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url zinazobainisha tovuti zisizoruhusiwa kufungua ibukizi.
Ikiwa sera hii itaachwa bila thamani chaguo-msingi yote itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultPopupeSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo zinaruhusiwa kuonyesha arifa.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumiwa kwa tovuti zote kutoka kwenye sera ya 'DefaultNotificationsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Inakuruhusu kuweka orodha ya ruwaza za url ambazo zinabainisha tovuti ambazo haziruhusiwi kuonyesha arifa.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani yote chaguo-msingi itatumika kwa tovuti zote kutoka katika sera ya 'DefaultNotificationsSetting' ikiwa imewekwa, au vinginevyo usanidi binafsi wa mtumiaji.
Onyesha chaguo za ufikiaji za Google Chrome OS katika menyu ya mfumo.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, chaguo za Ufikiaji zitaonekana katika menyu ya treya ya mfumo wakati wote.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, chaguo za Ufikiaji hazitaonekana kamwe katika menyu ya treya ya mfumo.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuibatilisha.
Sera hii isipowekwa, chaguo za Ufikiaji hazitaonekana katika menyu ya treya ya mfumo, lakini mtumiaji anaweza kusababisha chaguo za Ufikiaji zionekane kupitia ukurasa wa Mipangilio.
Washa kipengee cha upatikanaji cha kishale kikubwa. Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, kishale kikubwa kitawashwa kila wakati. Iwapo sera hii imewekwa kuwa haitumiki, kishale kikubwa kitawashwa kila wakati. Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawezi kuibadilisha au kuipuuza. Iwapo sera hii haijawekwa, kishale kikubwa kitazimwa mwanzoni lakini kitawashwa na mtumiaji wakati wowote.
Washa kipengele cha upatikanaji wa maoni yanayotamkwa.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, maoni yanayotamkwa yatakuwa yamewashwa kila wakati.
Iwapo sera itawekwa kuwa haitumiki, maoni yanayotamkwa yatazimwa kila wakati.
Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawezi kuibadilisha au kuipuuza.
Iwapo sera hii haijawekwa, maoni yanayotamkwaa yatazimwa mwanzoni lakini yanaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Washa kipengee cha upatikanaji cha hali ya juu ya utofutishaji. Kama sera hii imewekwa kuwa kweli, hali ya juu ya utofautishaji itawashwa kila wakati. Kama sera hii imewekwa kuwa haitumiki, hali ya juu ya utofautishaji itazimwa kila wakati. Kama sera hii imewekwa, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuipuuza. Kama sera hii haitawekwa, hali ya juu ya utofautishaji itazimwa mwanzoni lakini inaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Washa kipengele cha ufikiaji wa kibodi ya skrini.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, kibodi ya skrini itawashwa wakati wote.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, kibodi ya skrini itazimwa wakati wote.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuibatilisha.
Sera hii isipowekwa, skrini ya kibodi itakuwa imezimwa mwanzoni lakini inaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Hubadilisha tabia chaguo-msingi ya vitufe vya safumlalo ya juu kwenda vitufe vya kukokotoa.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, vitufe vya safumlalo ya juu ya kibodi vitatoa amri za vitufe vya kukokotoa kwa chaguo-msingi. Kitufe cha kutafuta lazima kibonyezwe ili kurejesha tabia yake kuwa vitufe vya media.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo au isiwekwe, kibodi itatoa amri za vitufe vya media kwa chaguo-msingi na amri za vitufe vya kukokotoa wakati kitufe cha kutafuta kimeshikiliwa.
Weka aina ya kikuza skrini ambacho kimewashwa. Iwapo sera hii imeweka, inadhibiti aina ya kikuza skrini amabacho kimewashwa. Kuweka sera kuwa "Hakuna" huzima kikuza skrini.
Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuipuuza. Kama sera hii haitawekwa, kikuza skrini huzimwa mwanzoni lakini kinaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote.
Weka hali chaguo-msingi ya kipengele cha upatikanaji wa kishale kikubwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti.
Kama sera hii itawekwa kuwa kweli, kishale kikubwa kitawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa.
Kama sera hii ni itawekwa kuwa uongo, kishale kikubwa kitazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa.
Kama utaweka sera hii, watumiaji wanaweza kuipuuza kwa muda kwa kuwasha au kuzima kishale kikubwa. Hata hivyo, chaguo la mtumiaji halitaendelea na chaguo-msingi litarejeshwa tena wakati wowote skrini ya kuingia katika skrini itakapoonyeshwa upya au mtumiaji atakaposalia bila kufanya kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja.
Kama sera hii haijawekwa, kishale kikubwa huzimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima kishale kikubwa wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inaendelea kati ya watumiaji.
Weka hali ya chaguo msingi ya kipengee cha ufikiaji cha maoni yaliyotamkwa kwenye skrini ya kuingi. Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, maoni yaliyosemwa yatawashwa skrini ya kuingina katika akaunti itakapoonyeshwa. Iwapo sera hii imewekwa kwa haitumiki, maoni yaliyosemwa yatazimwa skrini ya kuingina katika akaunti itakapoonyeshwa. Ukiweka sera hii, watumiaji wanaweza kuipuuza kwa muda kwa kuwasha au kuzima maoni yaliyotamkwa. Hata hivyo, uchaguzi wa mtumiaji sio wa kuendelea na chaguo-msingi hurejeshwa tena wakati wowote skrini ya kuingia katika akaunti inapoonekana upya au mtumiaji anaposalia kama hafanyi kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja. Iwapo sera hii itawachwa bila kuwekwa, maoni yaliyotamkwa yatazimwa skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima maoni yaliyosemwa wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti itakatalia kati ya watumiaji.
Weka hali chaguo msingi ya kipengee cha ufikiaji cha utofautishaji wa juu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti. Iwapo sera hii imewekwa kuwa kweli, hali ya juu ya utofautishaji itawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa. Iwapo sera hii imewekwa kwa haitumiki, hali ya juu ya utofautishaji itazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa. Iwapo utaweka sera hii, watumiaji wanaweza kwa muda kuipuuza kwa kuwasha au kuzima hali ya juu ya utofautishaji. Hata hivyo, chaguo la mtumiaji halitaendelea na chaguo-msingi hurejeshwa tena wakati wowote skrini ya kuingia katika akaunto inapoonyeshwa upya au mtumiaji anaposalia bila kufanya kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja. Iwapo sera hii haijawekwa, hali ya juu ya utoafautishaji huzimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima hali ya juu ya utofautishaji wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inaendelea kati ya watumiaji.
Weka hali chaguo-msingi ya kipengele cha ufikiaji cha kibodi ya skrini kwenye skrini ya kuingia katika akaunti.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, kibodi ya skrini itawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, kibodi ya skrini itazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa.
Ukiweka sera hii, watumiaji wanaweza kuibatilisha kwa muda kwa kuwasha au kuzima kibodi ya skrini. Hata hivyo, chaguo la watumiaji halidumu na chaguo-msingi hurejeshwa kila wakati skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa upya au mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja.
Sera hii isipowekwa, kibodi ya skrini inawashwa skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa mara ya kwanza. Watumiaji wanaweza wakazima au kuwasha kibodi ya skrini wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inadumu kati ya watumiaji.
Weka aina chaguo-msingi ya kikuza skrini ambacho kimewashwa kwenye skrini ya kuingia katika akaunti. Kama sera hii itawekwa, itadhibiti aina ya kikuza skrini ambacho kimewashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa. Kuweka sera kuwa "Hakuna" huzima kikuza skrini.
Kama umeweka sera hii, watumiaji wanaweza kuipuuza kwa muda kwa kuwasha au kuzima kikuza skrini. Hata hivyo, chaguo la mtumiaji haliendelei na chaguo msingi hurejeshwa tena wakati skrini ya kuingia katika akaunti inapoonyeshwa upya au mtumiaji anapobakia bila kufanya kitu kwenye skrini ya kuingia katika akaunti kwa dakika moja.
Kama sera haitawekwa, kikuza skrini kitazimwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti itakapoonyeshwa kwanza. Watumiaji wanaweza kuwasha au kuzima kikuza skrini wakati wowote na hali yake kwenye skrini ya kuingia katika akaunti inaendelea kati ya watumiaji.
Ikiwekwa kuwa kweli, akaunti za watumiaji wanaosimamiwa zitaweza kufunguliwa na kutumiwa.
Ikiwekwa kuwa si kweli au haijasanidiwa, uwezo wa kufungua na kuingia kwenye akaunti za watumiaji wanaosimamiwa utazimwa. Watumiaji wote wanaosimamiwa watafichwa.
KUMBUKA: Tabia chaguo-msingi ya vifaa vya wateja na biashara inatofautiana: kwenye vifaa vya wateja, watumiaji wanaosimamiwa huwashwa kama chaguo-msingi, lakini kwenye vifaa vya biashara wao huzimwa kama chaguo-msingi.
Ikiwekwa kuwa si kweli, uwezo wa mtumiaji huu wa kufungua akaunti ya mtumiaji anayesimamiwa utazimwa. Bado mtumiaji yeyote ambaye hivi sasa anasimamiwa atapatikana.
Ikiwekwa kuwa kweli au haijasanidiwa, akaunti za watumiaji wanaosimamiwa zinaweza kufunguliwa na kusimamiwa na mtumiaji huyu.
Ruhusu Google Chrome Frame kushughulikia aina zilizoorodheshwa za maudhui.
Ikiwa sera hii haitawekwa kionyeshi chaguo-msingi kitatumiwa kwa tovuti zote kama ilivyobainishwa na sera ya 'ChromeFrameRendererSettings'.
Huzima usawazishaji wa Hifadhi ya Google katika programu ya Faili ya Google Chrome OS unapowekwa kuwa Ndivyo. Kwa hivyo, hakuna data inayopakiwa kwenye Hifadhi ya Google.
Isipowekwa au ikiwekwa kuwa Sivyo, basi watumiaji wataweza kuhamisha faili kwenye Hifadhi ya Google.
Huzima usawazishaji wa Hifadhi ya Google katika programu ya Faili ya Google Chrome OS inapotumia muunganisho wa simu ya mkononi inapowekwa kuwa Ndivyo. Kwa hivyo, data inasawazishwa tu kwenye Hifadhi ya Google inapounganishwa kupitia WiFi au Ethaneti.
Isipowekwa au ikiwekwa kuwa Sivyo, basi watumiaji wataweza kuhamisha faili hadi Hifadhi ya Google kupitia miunganisho ya simu za mkononi.
Sera hii haihimiliwi tena. Inawezesha matumizi ya STUN na kubadilisha seva inapounganisha kwenye mteja wa mbali.
Ikiwa mpangilio huu umewezeshwa, hivyo basi mashine yanaweza kutambua na kuunganisha kwenye mpangishaji wa mbali hata ikiwa yametengamnishwa kwa ngome.
Ikiwa mpangilio huu umelemazwa na miunganisho ya UDP inayoondoka imechujwa kwa ngome, hivyo basi mashine haya yanaweza tu kuunganisha kwenye mashine ya mpangishaji katika mtandao wa karibu.
Huwasha matumizi ya seva za STUN seva teja za mbali zinapojaribu kutambua muunganisho wa mashini hii.
Ikiwa mpangilio huu utawashwa, basi seva teja za mbali zinaweza kugundua na kuunganisha kwenye mashini hii hata kama zimetenganishwa na ngome.
Ikiwa mpangilio huu utazimwa na miunganisho ya kutoa ya UDP imechujwa na ngome, basi mashini hii itaweza tu kuruhusu miunganisho kutoka kwenye mashini ya seva teja katika mtandao wa karibu.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa mpangilio utawashwa.
Inasanidi jina la kikoa linalohitajika litakalolazimishwa kwa wapangishaji wa ufikvu wa mbali na huzuia watumiaji kulibadilisha.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa, basi wapangishaji wanaweza kushirikiwa tu kwa kutumia akaunti zilizosajiliwa kwenye jina la kikoa lililobainishwa.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au haujawekwa, basi wapangishaji wanaweza kushirikiwa kwa kutumia akaunti yoyote.
Inawezesha uthibitishaji wa vipengee viwili kwa wapangishaji wa ufikivu wa mbali badala ya PIN iliyobainishwa na mtumiaji.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa, basi lazima mtumiaji atoe sababu mbili za msimbo halai anapofikia mpangishaji.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au hautawekwa, basi sababu mbili hazitawezeshwa na tabia ya chaguo-msingo kuwa na PIN iliyofafanuliwa na mtumiaji itatumiwa.
Inasanidi kiambishi awali cha TalkGadget ambacho kitatumiwa na mpangishaji wa ufikivu wa mbali na huzuia watumiaji kukibadilisha.
Kikibainishwa, kiambishi hiki awali kinasitishwa kwenye jina la msingi la TalkGadget ili kuunda jina kamili la kikoa la TalkGadget. Jina msingi la kikoa la TalkGadget ni '.talkgadget.google.com'.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa, basi wapangishaji watatumia jina maalum la kikoa wakati wa kufikia TalkGadget badala ya jina chaguo-msingi la kikoa.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au hautawekwa, basi jina chaguo-msingi la kikoa la TalkGadget ('chromoting-host.talkgadget.google.com') litatumiwa kwa wapangishaji wote.
Wateja wa ufikivu wa mbali hawaathiriki kwa mpangilio huu wa sera. Mara kwa mara watatumiwa 'chromoting-client.talkgadget.google.com' ili kufikia TalkGadget.
Inawezesha uzuiaji wa wapangishaji wa ufikivu wa mbali wakati muunganisho unapoendelea.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa, basi vifaa halisi vya ingizo na towe vitalemazwa wakati muunganisho wa mbali unapoendelea.
Ikiwa mpangilio huu utalemzwa au hautawekwa, basi watumiaji wa karibu na wa mbali wanaweza kuingiliana na seva pangishi inaposhirikiwa.
Mpangilio huu ukiwashwa au usiposanidiwa, basi watumiaji wanaweza kuchagua kuoanisha viteja na mpangishi wakati wa kuunganisha, hivyo kuondoa haja ya kuingiza PIN kila wakati.
Mpangilio huu ukizimwa, basi kipengele hiki hakitapatikana.
Mpangilio huu ukiwashwa, basi maombi ya uthibitisho ya gnubby yatawekwa kama proksi kupitia muunganisho wa mpangishi wa mbali.
Mpangilio huu ukizimwa au usisanidiwe, maombi ya uthibitisho ya gnubby hayatawekwa kama proksi.
Inawasha matumizi ya seva za relei seva teja za mbali zinapojaribu kutambua muunganisho wa mashini hii.
Ikiwa mpangilio huu utawashwa, basi seva teja za mbali zinaweza kutumia seva za relei kuunganisha kwenye mashini hii muunganisho wa moja kwa moja unapokosekana (k.m. kwa sababu ya vizuizi vya ngome).
Fahamu kuwa ikiwa sera RemoteAccessHostFirewallTraversal itawashwa, sera hii itapuuzwa.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa mpangilio utawashwa.
Huzuia masafa ya lango la UDP yanayotumiwa na mpangishi wa ufikiaji wa mbali katika mashini hii.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, au ikiwa itawekwa kwenye mfuatano mtupu, mpangishi wa ufikiaji wa mbali ataruhusiwa kutumia lango lolote linalopatikana, isipokuwa sera RemoteAccessHostFirewallTraversal izimwe, ambapo mpangishi wa ufikiaji wa mbali atatumia malango ya UDP katika masafa ya 12400-12409.
Requires that the name of the local user and the remote access host owner match.
If this setting is enabled, then the remote access host compares the name of the local user (that the host is associated with) and the name of the Google account registered as the host owner (i.e. "johndoe" if the host is owned by "johndoe@example.com" Google account). The remote access host will not start if the name of the host owner is different from the name of the local user that the host is associated with. RemoteAccessHostMatchUsername policy should be used together with RemoteAccessHostDomain to also enforce that the Google account of the host owner is associated with a specific domain (i.e. "example.com").
If this setting is disabled or not set, then the remote access host can be associated with any local user.
URL where remote access clients should obtain their authentication token.
If this policy is set, the remote access host will require authenticating clients to obtain an authentication token from this URL in order to connect. Must be used in conjunction with RemoteAccessHostTokenValidationUrl.
This feature is currently disabled server-side.
URL for validating remote access client authentication token.
If this policy is set, the remote access host will use this URL to validate authentication tokens from remote access clients, in order to accept connections. Must be used in conjunction with RemoteAccessHostTokenUrl.
This feature is currently disabled server-side.
Client certificate for connecting to RemoteAccessHostTokenValidationUrl.
If this policy is set, the host will use a client certificate with the given issuer CN to authenticate to RemoteAccessHostTokenValidationUrl. Set it to "*" to use any available client certificate.
This feature is currently disabled server-side.
Overrides policies on Debug builds of the remote access host.
The value is parsed as a JSON dictionary of policy name to policy value mappings.
Inabainisha mipango ipi ya uthibitishaji wa HTTP inahimiliwa na Google Chrome.
Thamani zinazowezekana ni 'basic', 'digest', 'ntlm' na 'negotiate'. Tenganisha thamani anuwai kwa vipumuo.
Ikiwa sera hii itaachwa kama haijawekwa, mipango yote minne itatumika.
Inabainisha ikiwa Kerberos SPN ilitengenezwa kulingana na jina la kanuni ya DNS au jina halisi lililoingizwa.
Ukiwezesha mpangilio huu, kidokezo cha CNAME kitaachwa na jina la seva litatumiwa kama lilivyoingizwa.
Ukilemaza mpangilio huu au uuache bila kuuweka, jina la kanuni la seva litathibitishwa kupitia kidokezo cha CNAME.
Inabainisha ikiwa Kerberos SPN zilizotengenezwa zinafaa kujumuisha lango lisilo wastani.
Ukiwezesha mpangilio huu, na lango lisilo wastani (yaani, lango jingine lisilo la 80 au 443) liingizwe, itajumuishwa katika Kerberos SPN iliyotengenezwa.
Ukilemaza mpangilio huu au uuache bila kuwekwa, Kerberos SPN zilizotengenezwa hazitajumuisha lango kwa namna yoyote.
Hubainisha seva zinazofaa kuidhinishwa kwa uthibitishaji uliojumuishwa. Uthibitishaji uliojumuishwa unawashwa tu wakati ambapo Google Chrome inapokea shindano kutoka kwenye proksi au seva iliyo katika orodha hii iliyoruhusiwa.
Tenganisha majina mengi ya seva kwa koma. Alama za (*) zinaruhusiwa.
Ukiiacha sera hii bila kuiweka Google Chrome itajaribu kugundua ikiwa seva iko kwenye Intraneti na ndipo tu itakapojibu maombi ya IWA. Ikiwa seva itagunduliwa kama Intraneti basi maombi ya IWA kutoka kwayo yatapuuzwa na Google Chrome.
Seva ambazo Google Chrome inaweza kuwekea majukumu.
Seva nyingi tofauti zilizo na koma. Alama za (*) zinaruhusiwa.
Endapo utaacha sera hii bila kuiweka Google Chrome haitaweza kuweka majukumu ya vitambulisho vya mtumiaji hata ikiwa seva itagunduliwa kama Intraneti.
Hubainisha maktaba upi wa GSSAPI ya kutumia kwa Uthibitishaji wa HTTP. Unaweza kuweka tu jina la maktaba, au kijia kamili.
Ikiwa hakuna mpangilio uliotolewa, Google Chrome itaendelea kutumia jina chaguo-msingi la maktaba.
Specifies the account type of the accounts provided by the Android authentication app that supports HTTP Negotiate authentication (e.g. Kerberos authentication). This information should be available from the supplier of the Authentication app. For more details see https://goo.gl/hajyfN.
If no setting is provided then Negotiate Authentication will be disabled on Android.
Hudhibiti iwapo maudhui madogo ya wengine kwenye ukurasa yanaruhusiwa kuibukiza kisanduku kidadisi cha HTTP Basic Auth.
Kwa kawaida hii inalemazwa kama ulinzi wa uhadaaji. Ikiwa sera hii haijawekwa, hii italemazwa na maudhui madogo ya wengine hayataruhusiwa kuibukiza kisanduku kidadisi cha HTTP Basic Auth.
Inakuruhusu kubainisha seva ya proksi iliyotumiwa na Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mipangilio ya proksi.
Ukichagua kutotumia seva ya proksi kamwe na uunganishe moja kwa moja wakati wote, chaguo nyingine zote zinapuuzwa.
Ukichagua kutumia mipangilio ya proksi au ugundue seva ya proksi kiotomatiki, chaguo nyingine zote zinapuuzwa.
Ukichagua modi iliyopangwa ya proksi ya seva, unaweza kubainisha chaguo nyingine katika 'Anwani au URL ya seva ya proksi' na 'Orodha iliyotengenishwa kwa koma ya kanuni za ukwepaji proksi'.
Ukichagua kutumia hati ya proksi ya .pac, lazima ubainishie URL hati katika 'URL kwenye faili ya proksi ya .pac'.
Kwa mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome hupuuza chaguo zote zinazohuaiana na proksi zilizobainishwa kutoka kwenye mstari wa amri.
Kuachwa kwa sera hii bila kuwekwa kutawaruhusu watumiaji kujichagulia mipangilio ya proksi.
Sera hii imepingwa, tumia ProxyMode badala yake.
Inakuruhusu kubainisha seva ya proksi inayotumiwa na Google Chrome na inawazuia watumiaji kubadilisha mipangilio ya proksi.
Ukichagua kutotumia tena seva ya proksi na kuunganisha kila mara moja kwa moja, chaguo nyingine zote zinapuuzwa.
Ukichagua kutumia mipangilio ya proksi ya mfumo au kugundua otomatiki seva ya proksi, chaguo nyingine zote zinapuuzwa.
Ukichagua mipangilio ya kujiwekea proksi mwenyewe, unaweza kubainisha chaguo zaidi katika 'Anwani au URL ya seva ya proksi', 'URL hadi proksi ya faili ya .pac' na 'Orodha iliyotenganishwa kwa vipumuo ya kanuni za kupitana za proksi'..
Kwa mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome inapuuza chaguo zote husiani za proksi zilizobainishwa kutoka kwenye mstari wa amri.
Kuacha sera hii kama haijawekwa kutaruhusu watumiaji kuchagua mipangilio ya proksi kibinafsi.
Unaweza kubainisha URL ya seva ya proksi hapa.
Sera hii inatumika tu ikiwa umechagua mipangilio ya seva mwenyewe katika "Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva ya proksi'.
Unafaa kuacha sera hii kama haijawekwa ikiwa umechagua modi nyingine yoyote ya kuweka sera za proksi.
Kwa chaguo zaidi na mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
Unaweza kubainisha URL ya faili ya proksi ya .pac hapa.
Ser hii inaanza kufanya tu kazi ikiwa umechagua mipangilio ya mwongozo wa proksi kwenye 'Chagua namna ya kubainisha mipangilio ya proksi ya seva'.
Iache sera hii bila kuwekwa ikiwa umechagua modi nyingine yoyote ya kuweka sera za proksi.
Kwa mifano ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
Google Chrome itakwepa proksi yoyote ya orodha ya wapangishaji iliyotolewa hapa.
Sera hii itatekelezwa tu ikiwa umechagua mipangilio ya proksi mwenyewe katika "Chagua jinsi ya kubainisha mipangilio ya seva'.
Unafaa kuacha sera hii kama haijawekwa ikiwa umechagua modi nyingine yoyote kwa kuweka sera za proksi.
Kwa mifano zaidi ya kina, tembelea: https://www.chromium.org/developers/design-documents/network-settings#TOC-Command-line-options-for-proxy-sett
Hukuruhusu kubainisha ni wapangishaji wapi wa ujumbe asili ambao hawapaswi kupakiwa.
Thamani ya orodha ya wasioidhinishwa ya '*' inamaanisha kwamba wapangishi wote wa ujumbe asili hawajaidhinishwa isipokuwa kama wamewekwa waziwazi katika orodha ya walioidhinishwa.
Kama sera hii haitawekwa Google Chrome itapakia wapangishi wote waliosakinishwa wa ujumbe asili.
Hukuruhusu kubainisha ni wapangishi wapi wa ujumbe asili wasiowekwa kwenye orodha ya wasioidhinishwa.
Thamani ya orodha ya wasioidhinishwa ya * inamaanisha wapangishi wote wa ujumbe asili hawajapewa idhini na ni wapangishi wa ujumbe asili waliowekwa kwenye orodha iliyoidhinishwa ndio watakaopakiwa pekee.
Kwa chaguo-msingi, wapangishi wote wa ujumbe asili wameidhinishwa, lakini iwapo wapangishi wote wa ujumbe asili hawajaidhinishwa na sera, orodha ya walioidhinishwa inaweza kutumiwa kubatilisha sera hiyo.
Huwesezesha usakinishi wa ngazi ya mtumiaji wa wapangishi wa Ujumbe Asili.
Iwapo mpangilio huu utawashwa basi Google Chrome huruhusu matumizi ya wapangishi wa Ujumbe wa Asili uliyosakinishwa kwenye ngazi ya mtumiaji.
Iwapo programu hii itazimwa basi Google Chrome itatumia wapangishi wa Ujumbe Asili iliyosakinishwa kwenye ngazi ya mfumo.
Iwapo mpangilio huu utaachwa bila kuwekwa Google Chrome itaruhusu matumizi ya wapangishi wa Ujumbe Asili wa ngazi ya mtumiaji.
Configures the default home page URL in Google Chrome and prevents users from changing it.
The home page is the page opened by the Home button. The pages that open on startup are controlled by the RestoreOnStartup policies.
The home page type can either be set to a URL you specify here or set to the New Tab Page. If you select the New Tab Page, then this policy does not take effect.
If you enable this setting, users cannot change their home page URL in Google Chrome, but they can still can choose the New Tab Page as their home page.
Leaving this policy not set will allow the user to choose his home page on his own if HomepageIsNewTabPage is not set too.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to an Active Directory domain.
Configures the type of the default home page in Google Chrome and prevents users from changing home page preferences. The home page can either be set to a URL you specify or set to the New Tab Page.
If you enable this setting, the New Tab Page is always used for the home page, and the home page URL location is ignored.
If you disable this setting, the user's homepage will never be the New Tab Page, unless its URL is set to 'chrome://newtab'.
If you enable or disable this setting, users cannot change their homepage type in Google Chrome.
Leaving this policy not set will allow the user to choose whether the new tab page is his home page on his own.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to an Active Directory domain.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufifilizwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufifiliza skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haififilizi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguo-msingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini huzimwa inapoendeshwa kwa nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuzima skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haizimi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa chaguo-msingi hutumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufungwa inapoendeshwa kwa nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufunga skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haifungi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa chaguo-msingi unatumiwa.
Njia iliyopendekezwa ya kufunga skrini isiyo na shughuli ni kuwezesha ufungaji skrini iliyositishwa na kusitisha Google Chrome OS baada ya onyesho liliso na shughuli. Sera hii inastahili kutumiwa tu wakati ambapo ufungaji wa skrini utatokea kwa muda mrefu kuliko kusitisha au usitishaji usio na shughuli hauhitajiki hata kidogo.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila matumizi ya mtumiaji baada ya upi mazungumzo ya onyo huonyeshwa wakati inaendeshwa kwenye nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda ambao mtumiaji anaweza kukaa bila kufanya kitu kabla Google Chrome OS haijaonyesha mazungumzo ya onyo ya kumwambia mtumiaji kuwa kitendo cha kutokufanya kitu kiko karibu kutekelezwa.
Sera hii inapoondolewa, hakuna mazungumzo ya onyo yatatoonyeshwa.
Thamani ya sera inapaswa kubainishwa kwa milisekunde. Thamani zinafungashwa kuwa chini ya au sawa na muda wa kutofanya kitu.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambao baadaye hatua isiyo na shughuli huchukuliwa inapoendeshwa kwenye nishati ya AC.
Sera hii inapowekwa, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuchukua hatua ya kutokuwa na shughuli, kinachoweza kusanidiwa tofauti.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguo-msingi hutumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufifilizwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufifiliza skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haififilizi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguo-msingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini inazimwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa kwenye thamani kubwa zaidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuzima skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haizimi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguo-msingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufungwa inapoendeshwa kwa nguvu ya betri.
Sera hii inapowekwa katika thamani kubwa zidi ya sufuri, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kufunga skrini.
Sera hii inapowekwa kwenye sufuri, Google Chrome OS haifungi skrini mtumiaji anaposalia bila shughuli.
sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa chaguo-msingi unatumiwa.
Njia inayopendekezwa ya kufunga skrini isiyo na shughuli ni kuwezesha ufungaji skrini iliyositishwa na kusitisha Google Chrome OS baada ya onyesho liliso na shughuli. Sera hii inastahili kutumiwa tu wakati ambapo ufungaji wa skrini utatokea kwa muda mrefu kuliko kusitisha au usitishaji usio na shughuli hauhitajiki hata kidogo.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta. Thamani zinabanwa ili kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli.
Hubainisha urefu wa muda ambao mtumiaji anaweza kukaa bila kufanya kitu baada ya upi mazungumzo ya onyo yataonyeshwa wakati ikiendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda ambao mtumiaji anaweza kukaa bila kufanya kitu kabla Google Chrome OS haijaonyesha mazungumzo ya onyo yanayomwambia mtumiaji kuwa kitendo cha kukaa bila kufanya kitu kiko karibu kutekelezwa.
Sera hii inapoondolewa, hakuna mazungumzo ya onyo yanayoonyeshwa.
Thamani ya sera inapaswa kubainishwa kwa milisekunde. Thamani zimefungashwa ili ziwe chini ya au sawa na muda wa kutofanya kitu.
Hubainisha urefu wa muda bila mchango wa mtumiaji ambapo baadaye skrini hufifilizwa inapoendeshwa kwenye nishati ya betri.
Sera hii inapowekwa, hubainisha urefu wa muda ambao lazima mtumiaji asalie bila shughuli kabla ya Google Chrome OS kuchukua hatua ya kutokuwa na shughuli, inayoweza kusanidiwa tofauti.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa muda wa chaguo-msingi unatumiwa.
Sera ya thamani inastahili kubainishwa kwa nukta.
Bainisha kitendo cha kuchukua wakati ucheleweshaji wa kutokufanya kitu unapofikiwa.
Kumbuka kwamba sera hii haitumiki tena na itaondolewa katika siku za usoni.
Sera hii itatoa thamani mbadala kwa sera maalum za IdleActionAC na IdleActionBattery. Sera hii ikiwekwa, thamani yake inatumika endapo sera maalum husika haijawekwa.
Sera hii ikiondolewa, matumizi ya sera maalum hubaki bila kuathirika.
Bainisha kitendo cha kuchukua ucheleweshwaji wa kutofanya kitu unapofikiwa wakati ikiendeshwa kutumia nishati ya AC.
Sera hii ikiwekwa, inabainisha kitendo ambacho Google Chrome OS huchukua mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu kwa muda uliowekwa na ucheleweshaji wa kutofanya kitu, ambao unaweza kusanidiwa kando.
Sera hii ikiondolewa, kitendo chaguo-msingi kitachukuliwa, ambacho ni kusimamisha.
Kama kitendo ni kusimamisha, Google Chrome OS inaweza kusanidi kando ifunge au isifunge skrini kabla ya kusimamisha.
Bainisha kitendo cha kuchukua ucheleweshaji wa kutofanya kitu unapofikiwa wakati ikiendeshwa kutumia nishati ya betri.
Sera hii ikiwekwa, inabainisha kitendo ambacho Google Chrome OS huchukua mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu kwa muda uliowekwa na ucheleweshaji wa kutofanya kitu, ambao unaweza kusanidiwa kando.
Sera hii ikiondolewa, kitendo chaguo-msingi kitachukuliwa, ambacho ni kusimamisha.
Kama kitendo ni kusimamisha, Google Chrome OS inaweza kusanidi kando ifunge au isifunge skrini kabla ya kusimamisha.
Bainisha hatua ya kuchukua mtumiaji anapofunga mfuniko.
Sera hii inapowekwa, hubainisha hatua ambayo Google Chrome OS huchukua mtumiaji anapofunga mfuniko wa kifaa.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, hatua ya chaguo-msingi huchukuliwa, ambayo ni sitisha.
Iwapo hatua ni sitisha, Google Chrome OS inaweza kusanidiwa tofauti ili kufunga au kutofunga skrini kabla ya kusitisha.
Hubainisha iwapo shughuli za sauti zinaathiri udhibiti wa nishati.
Iwapo sera hii itawekwa kwenye Ukweli au haitawekwa, mtumiaji hasemekani kutokuwa na shughuli sauti inapocheza. Hii inazuia kutokuwa na shughuli kwisha muda kufikiwa na hatua ya kutokuwa na shughuli kuchukuliwa. Hata hivyo, kufifiliza skrini, uchelewaji wa kuzimika kwa skrini na uchelewaji wa kufunga kwa skrini utatekelezwa baada ya muda kwisha kusanidiwa, bila kujali shughuli za sauti.
Sera hii ikiwekwa kwenye Uongo, shughuli za sauti hazizuii mtumiaji kusemekana kutokuwa na shughuli.
Hubainisha iwapo shughuli za video zinaathiri udhibiti wa nishati.
Iwapo sera hii itawekwa katika hali Ndivyo, au haitawekwa, mtumiaji hasemekani kutokuwa na shughuli video inapocheza. Hii inazuia ucheleweshaji wa kutokuwa na shughuli, ufifili wa skrini, uchelewaji wa kuzimika kwa skrini na uchelewaji wa kufunga kwa skrini kufikiwa na hatua zinazofanana kuchukuliwa.
Sera hii ikiwekwa kwenye Sivyo, shughuli za video hazizuii mtumiaji kusemekana kutokuwa na shughuli.
Sera hii imestaafishwa kutoka toleo la 29 la Google Chrome OS. Tafadhali tumia sera ya PresentationScreenDimDelayScale badala yake.
Hubainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini huongezwa wakati kifaa kiko katika hali ya wasilisho.
Kama sera hii itawekwa, inabainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini kutaongezwa wakati kifaa kiko katika hali ya wasilisho. Kuchelewa kwa mwangaza wa skrini kunapopimwa, kuzimwa kwa skrini, kufungua kwa skrini na kucheleweshwa kwa kutofanya kitu hurekebishwa ili kudumisha umbali sawa kutoka kwa kucheleweshwa kwa mwangaza wa skrini kama kulivyosanidiwa awali.
Kama sera hii haijawekwa, mfumo wa kipimo cha msingi kitatumika. Mfumo wa kipimo lazima uwe 100% au zaidi. Thamani zitakazofupisha kuchelewa kwa mwangaza wa skrini katika hali ya wasilisho kuliko kuchelewa kwa mwangaza wa skrini ya kawaida hazitaruhusiwa.
Hubainisha iwapo makufuli ya kuwasha skrini yanaruhusiwa. Makufuli ya kuwasha Skrini yanaweza kuombwa na viendelezi kupitia API ya kiendelezi cha usimamizi wa nishati.
Iwapo sera hii itawekwa kwenye kweli au kuachwa kama haijawekwa, makufuli ya kuwasha skrini yataheshimiwa kwa usimamizi wa nishati.
Iwapo sera hii itawekwa kwenye usiruhusu, kufuli la kuwasha skrini litapuuzwa.
Hubainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini kutaongezwa wakati shughuli ya mtumiaji inazingatiwa wakati skrini inapunguza mwangaza au mara baada ya skrini kuzimwa.
Kama sera hii imewekwa, inabainisha asilimia ambayo kuchelewa kwa mwangaza wa skrini huongezwa wakati shughuli ya mtumiaji inazingatiwa wakati skrini inapunguza mwangaza au mara baada ya skrini kuzimwa. Kuchelewa kwa mwangaza kunapoongezwa, kuzimwa kwa skrini, kufungwa kwa skrini na kucheleweshwa kwa kutofanya kitu hurekebishwa ili kudumisha umbali sawa kutoka kwa kucheleweshwa kwa mwangaza wa skrini kama ilivyosanidiwa kiasili.
Kama sera hii haijawekwa, mfumo wa kipimo cha msingi kitatumika.
Mfumo wa kipimo lazima uwe 100% au zaidi.
Hubainisha iwapo ucheleweshaji wa usimamizi wa nishati na kikomo cha urefu wa kipindi lazima tu uanze kutekeleza baada ya kuonekana kwa shughuli ya kwanza ya mtumiaji katika kipindi.
Iwapo sera hii imewekwa kuwa Ndivyo, ucheleweshaji wa usimamizi wa nishati na kikomo cha urefu wa kipindi havianzi kutekeleza mpaka shughuli ya kwanza ya mtumiaji ionekane katika kipindi.
Iwapo sera hii imewekwa kuwaSivyo ama imeachwa bila kuwekwa, ucheleweshaji wa usimamizi wa nishati na kikomo cha urefu wa kipindi huanza kutekeleza mara tu kipindi kinapoanza.
Configure power management settings when the user becomes idle.
This policy controls multiple settings for the power management strategy when the user becomes idle.
There are four types of action: * The screen will be dimmed if the user remains idle for the time specified by |ScreenDim|. * The screen will be turned off if the user remains idle for the time specified by |ScreenOff|. * A warning dialog will be shown if the user remains idle for the time specified by |IdleWarning|, telling the user that the idle action is about to be taken. * The action specified by |IdleAction| will be taken if the user remains idle for the time specified by |Idle|.
For each of above actions, the delay should be specified in milliseconds, and needs to be set to a value greater than zero to trigger the corresponding action. In case the delay is set to zero, Google Chrome OS will not take the corresponding action.
For each of the above delays, when the length of time is unset, a default value will be used.
Note that |ScreenDim| values will be clamped to be less than or equal to |ScreenOff|, |ScreenOff| and |IdleWarning| will be clamped to be less than or equal to |Idle|.
|IdleAction| can be one of four possible actions: * |Suspend| * |Logout| * |Shutdown| * |DoNothing|
When the |IdleAction| is unset, the default action is taken, which is suspend.
There are also separate settings for AC power and battery.
Hubainisha urefu wa muda bila ingizo la mtumiaji ambapo baada ya hapo skrini hufungwa inapoendeshwa kwa nishati ya AC au betri.
Urefu wa muda unapowekwa thamani kubwa kuliko sifuri, inawakilisha urefu wa muda ambao mtumiaji lazima abaki akiwa hafanyi kitu kabla Google Chrome OS skrini kufunga.
Urefu wa muda unapowekwa kuwa sifuri, Google Chrome OS haifungi skrini mtumiaji anapokuwa hafanyi kitu.
Urefu wa muda unapoondolewa, urefu wa muda chaguo-msingi hutumika.
Njia iliyopendekezwa ya kufunga skrini ambayo haifanyi kazi ni kuwasha kufunga skrini kwenye kusimamisha na Google Chrome OS kusimamisha baada ya ucheleweshaji wa kutofanya kitu. Sera hii lazima itumike wakati kufunga skrini kunatokea muda kiasi kikubwa kuliko kusimamisha au wakati kusimamisha wakati haifanyi kitu hakutakikani kabisa.
Thamani ya sera inapaswa kubainishwa katika milisekunde. Thamani huwekwa pamoja kuwa chini ya ucheleweshaji wa kutofanya kitu.
Kama ni kweli, ushuhuda wa mbali huruhusiwa kwa ajili ya kifaa na cheti kitazalishwa kiotomatiki na kupakiwa kwenye Seva ya Udhibiti wa Kifaa. Kama imewekwa kuwa haitumiki, au kama haijawekwa, hakuna cheti kitakachozalishwa na kupiga simu kwenyeAPI ya Kiendelezi chaenterprise.platformKeysPrivate zitashindwa.
Iwapo ni kweli, mtumiaji anaweza kutumia maunzi kwenye vifaa vya Chrome ili kudhibiti kwa umbali na kuthibitisha utambulisho wake katika CA ya faragha kupitia Enterprise Platform Keys API chrome.enterprise.platformKeysPrivate.challengeUserKey().
Iwapo imewekwa kwa isiyo kweli, au iwapo haijawekwa, simu katika API zitashindwa kwa msimbo wa hitilafu.
Sera hii inabainisha viendelezi vilivyoruhusiwa ili kutumia Enterprise Platform Keys API chrome.enterprise.platformKeysPrivate.challengeUserKey() kwa uthibitishaji wa mbali. Lazima viendelezi viongezwe kwenye orodha hii ili kutumia API.
Iwapo kiendelezi hakipo kwenye orodha, au orodha haijawekwa, upigaji simu katika API utashindwa kwa msimbo wa hitilafu.
Vifaa vyenye Chrome OS vinaweza kutumia uwezo wa kuthibitisha kutoka mbali (Ufikiaji Uliothibitishwa) kupata cheti kilichotolewa na Chrome OS CA kinachothibitisha kuwa kifaa kimekubaliwa kucheza maudhui yanayolindwa. Utaratibu huu unahusisha kutumia Chrome OS CA maelezo maalum ya kuthibitisha maunzi yanayokitambua kifaa husika.
Kama mipangilio hii si ya kweli, kifaa hakitatumia uwezo wa kuthibitisha kutoka mbali kulinda maudhui na huenda kifaa hakitaweza kucheza maudhui yanayolindwa.
Kama mipangilio hii ni ya kweli, au kama haitawekwa, huenda uwezo wa kuthibitisha kutoka mbali utatumika kulinda maudhui.
Inakuruhusu kubainisha viendelezi vipi ambavyo watumiaji HAWAWEZI kusakinisha. Viendelezi ambavyo tayari vimesakinishwa vitaondolewa ikiwa vitaondolewa idhini.
Thamani ilioondolewa idhini ya '*' inamaanisha viendelezi vyote vimeondolewa idhini isipokuwa vimeorodheshwa bayana katika orodha ya kutoa idhini.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa mtumiaji anaweza kusakinisha kiendelezi chochote katika Google Chrome.
Inakuruhusu kubainisha ni viendelezi gani havihusuiani na orodha kuondoa idhini.
Thamani ya orodha ya kuondoa idhini ya * inamaanisha viendelezi vyote vimeondolewa idhini na watumiaji wanaweza tu kusakinisha viendelezi vilivyoorodheshwa katika orodha ya kutoa idhini.
Kwa chaguo-msingi, viendelezi vyote vinatolewa idhini, lakini ikiwa viendelezi vyote vimeondolewa idhini kwa sera, orodha ya kutoa idhini inaweza kutumiwa kuifuta sera hiyo.
Allows you to specify a list of extensions that will be installed silently, without user interaction.
For Windows instances that are not joined to an Active Directory domain, forced installation is limited to extensions listed in the Chrome Web Store.
Each item of the list is a string that contains an extension ID and an update URL delimited by a semicolon (;). The extension ID is the 32-letter string found e.g. on chrome://extensions when in developer mode. The update URL should point to an Update Manifest XML document as described at https://developer.chrome.com/extensions/autoupdate. Note that the update URL set in this policy is only used for the initial installation; subsequent updates of the extension will use the update URL indicated in the extension's manifest.
For each item, Google Chrome will retrieve the extension specified by the extension ID from the update service at the specified update URL and silently install it.
For example, lcncmkcnkcdbbanbjakcencbaoegdjlp;https://clients2.google.com/service/update2/crx installs the Google SSL Web Search extension from the standard Chrome Web Store update URL. For more information about hosting extensions, see: https://developer.chrome.com/extensions/hosting.
Users will be unable to uninstall extensions that are specified by this policy. If you remove an extension from this list, then it will be automatically uninstalled by Google Chrome. Extensions specified in this list are also automatically whitelisted for installation; the ExtensionsInstallBlacklist does not affect them.
Note that the source code of any extension may be altered (potentially rendering the extension dysfunctional) by using Developer Tools. If this is a concern, the DeveloperToolsDisabled policy should be set.
If this policy is left not set the user can uninstall any extension in Google Chrome.
Inakuruhusu kubainisha ni URL gani zinaruhusiwa kusakinisha viendelezi, programu, na mandhari.
Kuanza katika Google Chrome 21, ni vigumu zaidi kusakinisha viendelezi, programu, na hati za watumiaji nje ya Duka la Chrome Wavutini. Awali, watumiaji wangebofya kwenye kiungo cha faili ya *.crx, na Google Chrome ingejitolea kuisakinisha faili baada ya maonyo machache. Baada ya Google Chrome 21, faili kama hizo lazima zipakuliwe na kuburutwa kwenye ukurasa wa mipangilio wa Google Chrome. Mipangilio hii inaruhusu URL mahususi kuwa na mtiririko wa zamani na rahisi wa usakinishaji.
Kila kipengee katika orodha hii ni ruwaza ya mtindo wa kiendelezi unaolingana (angalia http://code.google.com/chrome/extensions/match_patterns.html). Watumiaji wataweza kusakinisha vipengee kwa urahisi kutoka kwenye URL yoyote inayolingana na kipengee katika orodha hii. Mahali pa faili ya *.crx na ukurasa ambao upakuaji utaanzia (yaani kirejelea) lazima viruhusiwe na ruwaza hizi.
ExtensionInstallBlacklist inapewa kipaumbele dhidi ya sera hii. Yaani, kiendelezi kwenye orodha ya kuondoa idhini hakitasakinishwa, hata kama utatendeka kutoka kwenye tovuti ya orodha hii.
Hudhibiti ni aina zipi za programu au viendelezi zinazoruhusiwa kusakinishwa.
Mipangilio hii inatoa idhini kwa aina za viendelezi au programu zinazokubaliwa zinazoweza kusakinishwa katika Google Chrome. Thamani ni orodha ya mifuatano, ambapo kila kimoja kinafaa kuwa mojawapo ya vinavyofuata: "extension", "theme", "user_script", "hosted_app", "legacy_packaged_app", "platform_app". Angalia hati ya viendelezi vya Google Chrome kwa maelezo zaidi kuhusu aina hizi.
Fahamu kuwa sera hii pia inaathiri viendelezi na programu za kusakinishwa kwa lazima kupitia ExtensionInstallForcelist.
Ikiwa mipangilio hii itasanidiwa, viendelezi/programu zilizo na aina ambayo haiko kwenye orodha havitasakinishwa.
Ikiwa mipangilio hii itaachwa bila kusanidiwa, hakuna vikwazo vitakavyotekelezwa kwenye aina za viendelezi/programu zinazokubaliwa.
Huruhusu faili zilizo kwenye mashine kufikiwa kwa kuruhusu Google Chrome kuonyesha vidadisi vya uteuzi vya faili.
Ukiwasha mpangilio huu, watumiaji wanaweza kufungua vidadisi vya uteuzi vya faili kama kawaida.
Ukizima mpangilio huu, wakati wowote mtumiaji anapotekeleza kitendo ambacho kinaweza kufanya kidadisi cha uteuzi faili kionyeshwe (kama kuingiza alamisho, kupakia faili, kuhifadhi viungo, n.k.) ujumbe unaonyeshwa badala yake na mtumiaji anachukuliwa kwamba amebofya Ghairi kwenye kidadisi cha uteuzi wa faili.
Ikiwa mpangilio huu haujawekwa, watumiaji wanaweza kufungua kidadisi cha uteuzi faili kama kawaida.
Huruhusu Google Chrome kuendesha programu jalizi ambazo muda wake wa kutumiwa umeisha.
Ukiwasha mpangilio huu, programu jalizi ambazo muda wake umeisha zinatumika kama programu jalizi za kawaida.
Ukizima mpangilio huu, programu jalizi ambazo muda wake umeisha hazitatumiwa na watumiaji hawataombwa ruhusa ya kuziendesha.
Ikiwa mpango huu haujawekwa, watumiaji wataombwa ruhusa ya kuendesha programu jalizi ambazo muda wake wa kutumiwa umeisha.
Inawezesha matumizi ya kurasa mbadala za hitilafu zilizojengwa katika Google Chrome (kama vile 'ukurasa haukupatikana') na huzuia watumiaji kuubadilisha mpangilio huu.
Ukiwezesha mpangilio huu, kurasa mbadala za hitilafu zinatumiwa.
Ukilemaza mpangilio huu, kurasa mbadala za hitilafu hazitumiwi kamwe.
Ukiwezesha au kuulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kuubadilisha au kuufuta mpangilio huu katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, hii itawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Inaruhusu Google Chrome kuendesha programu jalizi ambazo zinahitaji idhinisho.
Ukiwezesha mpangilio huu, programu jalizi ambazo hazichachina kiwa wakati zinaendesha.
Ikiwa mpangilio huu umelemazwa au haujawekwa, watumiaji wataombwa kibali ili kuendesha programu jalizi ambazo zinahitaji idhinisho. Hizi ni programu ambazo zinaweza kuathiri usalama.
Inasanidi lugha ya programu katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha lugha.
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome hutumia lugha iliyobainishwa. Ikiwa lugha iliyosanidiwa haijahimiliwa, 'en-US' inatumiwa badala yake.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au haujawekwa, Google Chrome hutumia lugha inayopendelewa iliyobainishwa na mtumiaji (ikiwa imesanidiwa), lugha ya mfumo au lugha mbadala 'en-US'.
Ruhusu au kataza kuchukuliwa kwa sauti. Ikiwashwa au ikiwa hijasanidiwa (chaguo-msingi), mtumiaji ataombwa ufikiaji wa kuchukua sauti isipokuwa za URL zilizosanidiwa katika orodha ya AudioCaptureAllowedUrls ambayo itapewa ufikiaji bila kuomba. Sera hii ikiwa imezimwa, mtumiaji kamwe hataombwa na uchukuaji wa sauti upatikana kwa URL zilizosanidiwa katika AudioCaptureAllowedUrls pekee. Sera hii huathiri aina zote za vifaa vya kuingiza sauti na si tu maikrofoni iliyojengewa ndani.
Patterns in this list will be matched against the security origin of the requesting URL. If a match is found, access to audio capture devices will be granted without prompt.
NOTE: Until version 45, this policy was only supported in Kiosk mode.
Ruhusu kucheza sauti.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, utoaji wa sauti hautapatikana kwenye kifaa mtumiaji akiwa ameingia.
Sera hii inaathiri aina zote za utoaji wa sauti na siyo tu spika za ndani. Vipengele vya ufikiaji kwa wasio na uwezo wa kusikia pia vinazuiwa na sera hii. Usiwashe sera hii iwapo kisomaji cha skrini kinahitajika kwa mtumiaji.
Ikiwa mpangilio huu utawekwa kuwa ndivyo au hautasanidiwa basi watumiaji wanaweza kutumia vipengee vyote vya utoaji sauti vinavyoweza kutumika kwenye vifaa vyao.
Sera hii imekosolewa. Google Chrome OS itatumia mkakati wa kufuta wa 'RemoveLRU' wakati wowote.
Hudhibiti tabia ya ufutaji otomatiki kwenye vifaa vya Google Chrome OS. Kufuta kiotomatiki kunafanywa kiasi cha nafasi tupu ya diski kinapofikia kiwango muhimu cha kurejesha baadhi ya nafasi ya diski.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'RemoveLRU', kufuta kiotomatiki kutaendelea kuondoa watumiaji kwenye kifaa katika agizo la hivi karibuni lililoingiwa mara chache zaidi hadi kuwe na nafasi ya kutosha.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'RemoveLRUIfDormant', kufuta kiotomatiki kutaendelea kuwaondoa watumiaji ambao hawajaingia katika akaunti kwa angalau miezi 3 iliyopita katika agizo la hivi karibuni lililoingiwa mara chache zaidi hadi kuwe na nafasi ya kutosha.
Ikiwa sera hii haitawekwa, kufuta kiotomatiki hutumia mkakati wa chaguo-msingi uliojengwa ndani. Kwa sasa, ni mkakati wa 'RemoveLRUIfDormant'.
Inawezesha kipengele cha Mjazo Otomatiki cha Google Chrome na huruhusu watumiaji kukamilisha wavuti kiotomatiki kwa kutumia maelezo ya awali yaliyohifadhiwa kama anwani au maelezo ya kadi ya mkopo.
Ukiuzima mpangilio huu, Mjazo Otomatiki hautafikiwa na watumiaji.
Ukiuwasha mpangilio huu au usipoweka thamani, Mjazo Otomatiki utasalia chini ya udhibiti wa mtumiaji. Hii itawaruhusu kuweka maelezo mafupi ya Mjazo Otomatiki na kuwasha au kuzima Mjazo Otomatiki wapendavyo.
Determines whether a Google Chrome process is started on OS login and keeps running when the last browser window is closed, allowing background apps and the current browsing session to remain active, including any session cookies. The background process displays an icon in the system tray and can always be closed from there.
If this policy is set to True, background mode is enabled and cannot be controlled by the user in the browser settings.
If this policy is set to False, background mode is disabled and cannot be controlled by the user in the browser settings.
If this policy is left unset, background mode is initially disabled and can be controlled by the user in the browser settings.
Inazuia vidakuzi vya wengine.
Kuwezesha mpangilio huu kunazuia vidakuzi kuwekwa na vipengee vya kurasa za wavuti ambavyo havitoki kwenye kikoa kilicho katika upau wa anwani ya kivinjari.
Kulemaza mpangilio huu kunaruhusu vidakuzi kuwekwa na vipengee vya kurasa wa wavuti ambavyo havitoki kwenye kikoa kilicho katika upau wa anwani ya kivinjari na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, vidakuzi vingine vitawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kubadilisha.
Inawezesha upau wa alamisho kwenye Google Chrome.
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome itaonyesha upau wa alamisho.
Ukilemaza mpangilio huu, watumiaji kamwe hawataona upau wa alamisho.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kuufuta katika Google Chrome.
Ikiwa mpangilio huu utaachwa bila kuwekwa mtumiaji anaweza kuamua kukitumia kitendaji hiki au asikitumie.
If this policy is set to true or not configured, Google Chrome will allow Add Person from the user manager.
If this policy is set to false, Google Chrome will not allow creation of new profiles from the profile manager.
If this policy is set to true or not configured, Google Chrome will enable guest logins. Guest logins are Google Chrome profiles where all windows are in incognito mode.
If this policy is set to false, Google Chrome will not allow guest profiles to be started.
Hudhibiti iwapo DNS teja ya kijenzi cha ndani inatumika katika Google Chrome.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa ndivyo, DNS teja ya kijenzi cha ndani itatumiwa, iwapo itapatikana.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa sivyo, DNS teja ya kijenzi cha ndani haitawahi kutumiwa.
Iwapo sera hii itawachwa bila kuwekwa, watumiaji wataweza kubadilisha iwapo DNS teja ya kijenzi cha ndani itatumika kwa kuhariri chrome://flags au kubainisha alama ya mstari wa amri.
This policy allows Google Chrome OS to bypass any proxy for captive portal authentication.
This policy only takes effect if a proxy is configured (for example through policy, by the user in chrome://settings, or by extensions).
If you enable this setting, any captive portal authentication pages (i.e. all web pages starting from captive portal signin page until Google Chrome detects succesful internet connection) will be displayed in a separate window ignoring all policy settings and restrictions for the current user.
If you disable this setting or leave it unset, any captive portal authentication pages will be shown in a (regular) new browser tab, using the current user's proxy settings.
Wezesha kufunga wakati vifaa Google Chrome OS vinakuwa tulivu na vimesimamishwa.
Ukiwezesha mpangilio huu, watumiaji wataulizwa nenosiri ili kufungua kifaa kinacholala.
Ukilemaza mpangilio huu, watumiaji hawataulizwa nenosiri ili kufungua kifaa kinacholala.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kukibadilisha au kukifuta.
Ikiwa sera itasalia kama haijawekwa mtumiaji anaweza kuchagua iwapo anataka kuulizwa nenosiri ili kufungua kifaa au la.
Dhibiti tabia ya mtumiaji katika kipindi cha multiprofile kwenye vifaa vya Google Chrome OS.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'MultiProfileUserBehaviorUnrestricted', mtumiaji anaweza kuwa wa kwanza au wa pili katika kipindi cha multiprofile.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'MultiProfileUserBehaviorMustBePrimary', mtumiaji anaweza kuwa wa kwanza pekee katika kipindi cha multiprofile.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa 'MultiProfileUserBehaviorNotAllowed', mtumiaji hawezi kushiriki kipindi cha multiprofile.
Ukiweka mpangilio huu, watumiaji hawawezi kuubadilisha au kuufuta.
Ikiwa mpangilio utabadilishwa mtumiaji akiwa ameingia katika kipindi cha multiprofile, watumiaji wote katika kipindi watateuliwa dhidi ya mipangilio yao sambamba. Kipindi kitafungwa ikiwa yeyote kati ya watumiaji haruhusiwi kuwa katika kipindi.
Ikiwa sera itaachwa bila kuwekwa, thamani ya chaguo-msingi 'MultiProfileUserBehaviorMustBePrimary' inatumika kwa watumiaji wanaosimamiwa kibiashara na 'MultiProfileUserBehaviorUnrestricted' itatumiwa kwa watumiaji wasiosimamiwa.
Hubainisha kituo cha kutoa ambacho kifaa hiki kinastahili kufungiwa kwacho.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa Ndivyo na sera ya ChromeOsReleaseChannel haijabainishwa basi watumiaji wa kikoa cha uandikishaji kitaruhusiwa kubadilisha kituo cha kutoa cha kifaa. Ikiwa sera hii itawekwa kuwa siyo Ndivyo kifaa kitafungwa katika kituo chochote ambapo kilikuwa kimewekwa mwisho.
Kituo kilichoteuliwa na mtumiaji kitafutwa kwa sera ya ChromeOsReleaseChannel, lakini ikiwa kituo cha sera ni thabiti zaidi kuliko kile ambacho kilikuwa kimesakinishwa kwenye kifaa, hivyo basi kituo kitabadili tu baada ya toleo la kituo thabiti zaidi kinachofikia idadi ya juu zaidi ya toleo kuliko lililosakinishwa kwenye kifaa.
Sera hii imeondolewa kutoka toleo la 29 la Google Chrome
Huwezesha Google Chrome kufanya kazi kama proksi kati ya Google Cloud Print na printa zilizotangulia zilizounganishwa kwenye mashine.
Iwapo mpangilio huu utawashwa au hutasanidiwa, watumiaji wanaweza kutumia proksi ya kuchipisha ya wingu ili kuthibitisha akaunti ya Google.
Iwapo mpangilio huu utafungwa, watumiaji hawawezi kuwasha proksi, na mashine haitaruhusiwa kushiriki printa zake na Google Cloud Print.
Inawezesha Google Chrome kuwasilisha nyaraka kwenye Google Cloud Print ili kuchapishwa. KUMBUKA: Hii inaathiri tu msaada wa Google Cloud Print katika Google Chrome. Haizuii watumiaji kuwasilisha kazi zilizochapishwa kwenye tovuti.
Ikiwa mpangilio huu utawezeshwa au hautasanidiwa, watumiaji wanaweza kuchapisha kwenye Google Cloud Print kutoka kwenye Google Chrome kidadisi cha kuchapisha.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa, watumiaji hawawezi kuchapisha kwenye Google Cloud Print kutoka kwenye Google Chrome kidadisi cha kuchapisha
Enables the availability of Touch to Search in Google Chrome's content view.
If you enable this setting, Touch to Search will be available to the user and they can choose to turn the feature on or off.
If you disable this setting, Touch to Search will be disabled completely.
If this policy is left not set, it is equivalent to being enabled, see description above.
Washa au zima proksi ya kupunguza data na inazuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha au kuzima mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha ama kupuuza mpangilio huu.
Kama sera hii imeachwa bila kuwekwa, kipengee cha proksi ya kupunguza data kitapatikana ili mtumiaji achague kama atakitumia au la.
Inasanidi ukaguzi wa kivinjari chaguo-msingi kwenye Google Chrome na kuzuia watumiaji kwa kuvibadilisha.
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome kila mara itakagua inapoanza iwapo ni kivinjari chaguo-msingi na kujisajili binafsi kiotomatiki ikiwezekana.
Ikiwa mpangilio huu umelemazwa, Google Chrome haitakagua ikiwa ni kivinjari chaguo-msingi na italemaza vidhibiti vya mtumiaji vya kuweka chaguo hili.
Ikiwa mpangilio huu haujawekwa, Google Chrome itaruhusu mtumiaji kudhibiti iwapo ni kivinjari chaguo-msingi na iwapo arifa za mtumiaji zitaonyeshwa wakati siyo.
Inalemaza Zana za Msanidi Programu na kiweko cha JavaScript.
Ukiwezesha mpangilio huu, Zana za Msanidi Programu haziwezi kufikiwa na vipengee vya tovuti haviwezi kukaguliwa tena. Mikato yoyote ya kibodi na menyu yoyote au maingizo yoyote ya menyu ya muktadha ya kufungua Zana za Msanidi Programu au Kiweko cha JavaScript vitalemazwa.
Kulemaza chaguo hii au kuiacha bila kuwekwa kutaruhusu mtumiaji kutumia Zana za Msanidi Programu na kiweko cha JavaScript.
Inadhibiti iwapo Google Chrome OS inaruhusu akaunti mpya za mtumiaji kuundwa. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa siyo Ndivyo, watumiaji ambao hawana akaunti tayari hawataweza kuingia.
Ikiwa sera hii imewekwa kuwa Ndivyo au haijasanidiwa, akaunti mpya za mtumiaji itaruhusiwa kuundwa mradi tu DeviceUserWhitelist haimzuii mtumiaji kuingia.
Usimamizi wa IT kwa vifaa vya biashara unaweza kutumia alama hii kudhibiti iwapo itaruhusu watumiaji kukomboa matoleo kupitia Usajili wa Chrome OS.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa ndivyo au kuachwa bila kuwekwa, watumiaji wataweza kukomboa matoleo kupitia Usajili wa Chrome OS.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa sivyo, mtumiaji hataweza kukomboa matoleo.
Sera hii ni amilifu katika modi ya rejareja tu.
Inaorodhesha viendelezi ambavyo vinasakinishwa kiotomatiki kwa mtumiaji wa Onyesho, kwa vifaa katika modi ya rejareja. Viendelezi hivi vinahifadhiwa katika kifaa na vinaweza kusakinishwa nje ya mtandao, baada ya usakinishaji.
Kila ingizo la orodha lina kamusi ambayo ni lazima ijumuishe Kitambulisho cha kirefusho katika uga wa 'kitambulisho cha kirefusho', na URL sasishi yake katika uga wa 'url-sasishi'.
Inalemaza visasisho otomatiki inapowekwa kwenye Ndivyo.
Vifaa Google Chrome OS vinakagua visasisho kiotomatiki wakati mpangilio huu haujasanidiwa au umewekwa kuwa Sivyo.
Hubainisha iwapo p2p itatumika kwa sasisho za data ya OS. Kama imewekwa kuwa Kweli, vifaa vitashiriki na kujaribu kusasisha data kwenye LAN, hivyo kuna uwezekano wa kupunguza matumizi ya kipimo data cha intaneti na msongamano. Kama sasisho ya data haipo kwenye LAN, kifaa kitarudia kupakua kutoka kwenye seva ya sasisho. Kama imewekwa kuwa Uongo ama haijasanidiwa, p2p haitatumika.
Zuia hali ya wasanidi programu.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa Ukweli, Google Chrome OS itazuia kifaa kuwaka katika hali ya wasanidi programu. Mfumo utakataa kuwaka na kuonyesha skrini ya hitilafu swichi ya wasanidi programu itakapowashwa.
Ikiwa sera haitawekwa au itawekwa kuwa Uongo, hali ya wasanidi programu itaendelea kupatikana kwa kifaa.
Inathibitisha iwapo utumiaji wa data nje ya mtandao wako unapaswa kuwezeshwa kwa kifaa. Ikiwa itawekwa kuwa Ndivyo, utumiaji wa data nje ya mtandao wako unawezeshwa. Ikiwa hautasanidiwa au kuwekwa kuwa siyo Ndivyo, utumiaji wa data nje ya mtandao wako hautapatikana.
Inathibitisha iwapo Google Chrome OS inaweka data ya akaunti ya karibu baada ya kuondoka. Ikiwa imewekwa kwenye ndivyo, hakuna akaunti za kudumu zinazowekwa kwa Google Chrome OS na data yote kutoka kwenye kipindi cha mtumiaji itatupwa baada ya kuondoka. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa sivyo au haijasanidiwa, kifaa kinaweza kuweka data ya mtumiaji wa karibu (iliyosimbwa fiche).
Ikiwa sera hii itawekwa kwenye Ndivyo au haitasanidiwa, Google Chrome OS haitawezesha uingiaji wa mgeni. Uingiaji wa mgeni ni vipindi visivyojulikana vya mtumiaji na havihitaji nenosiri..
Ikiwa sera hii itawekwa kwenye Sivyo, Google Chrome OS haitaruhusu vipindi vya mgeni kuanzishwa.
Sera hii ni amilifu katika modi ya rejareja tu.
Wakati thamani ya sera hii inawekwa na siyo 0 hivyo basi mtumiaji wa kuonyesha aliyeingia ataondoka kiotomatiki baada ya muda usio wa shughuli wa kipindi kilichobainishwa umekwishwa.
Thamani ya sera inafaa kubainishwa katika milisekunde.
Sera hii ni amilifu katika modi ya rejareja tu.
Wakati DeviceIdleLogoutTimeout inapobainishwa sera hii inafafanua muda wa kikasha cha onyo kwa kipima muda kinachoonyeshwa kwa mtumiaji kabla ya kuondoka kutekelezwa.
Thamani ya sera inastahili kubainishwa katika milisekunde.
Washa njia mkato ya kibodi ya usaidizi wa uingiaji otomatiki.
Iwapo sera hii haijawekwa au imewekwa kwenye Ruhusu na akaunti ya ndani ya kifaa imesanidiwa kwa kutochelewa wakati wa kuingia otomatiki, Google Chrome OS itaheshimu njia mkato ya kibodi ya Ctrl+Alt+S kwa kukwepa kuingia otomatiki na kuonyesha skrini ya kuingia.
Iwapo sera hii imewekwa kwenye Uongo, kuingia bila kuchelewa (iwapo kumesanidiwa) hakuwezi kukwepwa.
Ucheleweshwaji wa kuingia kiotomatiki katika kipindi cha umma.
Sera ya |DeviceLocalAccountAutoLoginId| ikiondolewa, sera hii haina athari. Vinginevyo:
Sera hii ikiwekwa, inabainisha kiasi cha muda ambacho kinaweza kupita bila shughuli ya mtumiaji kabla kuingia kiotomatiki katika kipindi cha umma kilichobainishwa na sera ya |DeviceLocalAccountAutoLoginId|.
Ikiwa sera haitawekwa, milisekunde 0 zitatumika kuonyesha muda umekwisha.
Sera hii inabainishwa kwa miliksekunde.
Kipindi cha uma cha kuingia otomatiki baada ya kuchelewa.
Endapo sera imewekwa, kipindi kilichobainishwa kitawekewa kumbukumbu kiotomatiki baada ya kipindi cha muda kupita katika skrini ya kuingia bila muingiliano wa mtumiaji. Kipindi cha umma lazima kiwe kimesanidiwa tayari (tazama |DeviceLocalAccounts|).
Endapo sera hii haijawekwa, hakutakuwa na kuingia kiotomatiki.
Washa ombi la usanidi wa mtandao inapokuwa nje ya mtandao.
Sera hii isipowekwa au ikiwekwa kuwa Ndivyo na akaunti ya kifaa ya karibu isanidiwe kwa kuingia kiotomatiki pasipo kuchelewa na kifaa kiwe hakina ufikiaji kwa Intaneti, Google Chrome OS itaonyesha ombi la kusanidi mtandao.
Sera hii ikiwekwa kuwa Sivyo, ujumbe wa hitilafu utaonyeshwa badala ya ombi la kusanidi mtandao.
Hubainisha akaunti za kifaa cha karibu nawe cha kuonyeshwa kwenye skrini ya kuingia.
Kila ingizo la orodha hubainisha kitambulishi, kinachotumiwa ndani kutambua akaunti tofauti za kifaa cha karibu nawe zilizo mbali.
If this policy is set to a blank string or not configured, Google Chrome OS will not show an autocomplete option during user sign-in flow. If this policy is set to a string representing a domain name, Google Chrome OS will show an autocomplete option during user sign-in allowing the user to type in only his user name without the domain name extension. The user will be able to overwrite this domain name extension.
Sanidi usimamizi wa nishati kwenye skrini ya kuingia katika akaunti ya Google Chrome OS.
Sera hii hukuruhusu kusanidi jinsi Google Chrome OS hufanya kazi kunapokuwa hakuna shughuli ya mtumiaji kwa muda huku skrini ya kuingia katika akaunti ikiwa inaonyeshwa. Sera hii hudhibiti mipangilio mingi. Kwa vigezo maalum na mfululizo wa thamani, tazama sera zinazolingana ambazo hudhibiti usimamizi wa nishati wakati wa kipindi. Tofauti za pekee zilizoko kwenye sera hizi ni: * Vitendo vya kuchukua wakati haifanyi kitu au kifuniko kimefunikwa haviwezi kuwa kumaliza kipindi * Kitendo chaguo-msingi cha kuchukua wakati kifaa hakifanyi kitu kinapoendeshwa kutumia nishati ya AC ni kuzima.
Kama mpangilio usipobainishwa, thamani chaguo-msingi inatumika.
Sera hii ikiondolewa, chaguo-msingi zitatumika kwa mipangilio yote.
Sera hii ni amilifu katika modi rejareja tu.
Inaamua kitambulisho cha kiendelezi cha kutumiwa kama taswira ya skrini kwenye skrini ya kuingia. Lazima kiendelezi kiwe kimoja wapo cha AppPack inayosanidiwa kwa ajili ya kikoa hiki kupitia kwenye sera ya DeviceAppPack.
Sera hii ni amilifu katika modi ya rejareja tu.
Inathibitisha kipindi kabla ya kuonyeshwa kwa taswira ya skrini katika skrini ya kuingia kwa vifaa hivi katika modi ya reje reja.
Thamani ya sera inafaa kubainishwa katika milisekunde.
Inadhibiti iwapo metriki za matumizi zinaripotiwa tena katika Google. Ikiwa imewekwa kwenye ndivyo, Google Chrome OS itaripoti metriki za matumizi. Ikiwa haijasanidiwa au imewekwa kuwa siyo Ndivyo, kuripoti metriki kutalemazwa.
Inaruhusu kusukuma usanidi wa mtandao ili kutumika kwa watumiaji wote wa kifaa cha Google Chrome OS. Usanidi wa mtandao ni mtungo wa JSON ulioumbizwa kama ilivyofafanuliwa na umbizo la Usanidi Huru wa Mtandao ulioelezwa kwenye https://sites.google.com/a/chromium.org/dev/chromium-os/chromiumos-design-docs/open-network-configuration
Inabainisha kipindi kwa nukta ambapo huduma ya udhibiti wa kifaa inahojiwa kwa ajili ya maelezo ya sera ya kifaa.
Kuweka sera hii kunafuta thamani ya chaguo-msingi ya saa 3. Thamani halali za sera hii ziko katika masafa ya kuanzia 1800000 (dakika 30 ) hadi 86400000 (Siku 1). Thamani zozote zisizo katika masafa haya zitabaniwa kwenye mpaka husika.
Kuacha sera hii bila kuwekwa kutafanya Google Chrome OS kutumia thamani chaguo-msingi ya saa 3.
If this policy is set to false or not configured, Google Chrome OS will allow the user to shut down the device. If this policy is set to true, Google Chrome OS will trigger a reboot when the user shuts down the device. Google Chrome OS replaces all occurrences of shutdown buttons in the UI by reboot buttons. If the user shuts down the device using the power button, it will not automatically reboot, even if the policy is enabled.
Ikiwa sera hii imewekwa kwenye ndivyo au haijasanidiwa, Google Chrome OS itaonyesha watumiaji waliopo kwenye skrini ya kuingia na kuruhusu kuchagua mmoja. Ikiwa sera hii imewekwa kuwa siyo Ndivyo, Google Chrome OS itatumia kisituo cha jina la mtumiaji/nenosiri kwa kuingia.
Hubainisha ishara zinazotakiwa kutumika kwenye Google Chrome inapoanza. Ishara zinazobainishwa hutumika kabla Google Chrome haijaanzishwa hata kwa uchanganuzi wa kuingia katika akaunti.
Sera hii ni amilifu katika modi ya rejareja tu.
Inathibitisha seti ya URL za kupakiwa wakati kipindi cha onyesho kimeanzishwa. Sera hii itafuta mbinu nyingine zozote za kuweka URL ya kwanza na hivyo zinaweza kutekelezwa katika kipindi ambacho hakihusiani na mtumiaji fulani.
Inawezesha toleo lengwa la Visasisho Otomatiki.
Inabainisha kiambishi awali ambacho toleo lengwa Google Chrome OS linafaa kusasishwa kuwa. Ikiwa kifaa kinaendesha toleo ambalo ni la kabla ya kiambishi awali kilichobainishwa, kitajisasisha hadi kwenye toleo la sasa kwa kiambishi awali kilichotolewa. Ikiwa kifaa tayari kipo katika toleo la sasa, hakuna athari (yaani hakuna kushusha gredi kunakofanyika) na kifaa kitasalia katika toleo la hivi punde. Umbizo la kiambishi awali linafanyakazi kama kijenzi kama linavyoonyeshwa katika mifano ifuatayo:
"" (au haijasanidiwa): sasisha hadi kwenye toleo la sasa linalopatikana. "1412.": sasisha hadi kwenye toleo lolote dogo la 1412 (k.m. 1412.24.34 au 1412.60.2) "1412.2.": sasisha hadi kwenye toleo lolote dogo la 1412.2 (k.m. 1412.2.34 au 1412.2.2) "1412.24.34": sasisha hadi kwenye toleo hili bainifu tu
Specifies whether authentication cookies set by a SAML IdP during login should be transferred to the user's profile.
When a user authenticates via a SAML IdP during login, cookies set by the IdP are written to a temporary profile at first. These cookies can be transferred to the user's profile to carry forward the authentication state.
When this policy is set to true, cookies set by the IdP are transferred to the user's profile every time he/she authenticates against the SAML IdP during login.
When this policy is set to false or unset, cookies set by the IdP are transferred to the user's profile during his/her first login on a device only.
This policy affects users whose domain matches the device's enrollment domain only. For all other users, cookies set by the IdP are transferred to the user's profile during his/her first login on the device only.
The types of connections that are allowed to use for OS updates. OS updates potentially put heavy strain on the connection due to their size and may incur additional cost. Therefore, they are by default not enabled for connection types that are considered expensive, which include WiMax, Bluetooth and Cellular at the moment.
The recognized connection type identifiers are "ethernet", "wifi", "wimax", "bluetooth" and "cellular".
Sasisho za data kiotomatiki kwenye Google Chrome OS zinaweza kupakuliwa kupitia HTTP badala ya HTTPS. Hii huruhusu uakibishaji wa HTTP wazi wa vipakuliwa vya HTTP.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo, Google Chrome OS itajaribu kupakua sasisho za data kiotomatiki kupitia HTTP. Sera ikiwekwa kuwa sivyo ama isiwekwe, HTTPS itatumika kupakua sasisho za data kiotomatiki.
Inabainisha idadi ya sekunde ambazo kifaa kinaweza kuamua kuchelewesha upakuaji wake wa sasisho kutoka wakati ambapo usasishaji ulisukumwa kwanza nje katika seva. Kifaa kinaweza kusubiri kijisehemu cha muda huu kwa hali ya muda wa saa na kijisehemu kinachosalia katika hali ya idadi ya ukaguzi wa visasisho. Katika hali yoyote, utawanyishaji umekitwa katika kiwango cha kudumu cha muda ili kifaa kisikwame tena kikisubiri kupakua sasisho kwa muda mrefu.
Inafafanua orodha ya watumiaji ambao wanaruhusiwa kuingia kwenye kifaa. Maingizo yamo kwenye aina user@domain, kama vile madmax@managedchrome.com. Ili kuruhusu watumiaji wa kufunga kwenye kikoa, tumia maingizo ya aina ya *@domain.
Ikiwa sera hii haijasanidiwa, hakuna vizuizi ambavyo watumiaji wanaruhusiwa kuingia. Kumbuka kuwa kuunda watumiaji wapya bado kunahitaji sera DeviceAllowNewUsers kusanidiwa ipasavyo.
Disable support for 3D graphics APIs.
Enabling this setting prevents web pages from accessing the graphics processing unit (GPU). Specifically, web pages can not access the WebGL API and plugins can not use the Pepper 3D API.
Disabling this setting or leaving it not set potentially allows web pages to use the WebGL API and plugins to use the Pepper 3D API. The default settings of the browser may still require command line arguments to be passed in order to use these APIs.
If HardwareAccelerationModeEnabled is set to false, Disable3DAPIs is ignored and it is equivalent to Disable3DAPIs being set to true.
Ukiwezesha mpangilio huu utafutaji otomatiki na usakinishaji wa programu jalizi zinazokosekana utalemazwa katika Google Chrome.
Kuweka chaguo hili kulezama au kuiacha bila kuwekwa kipataji cha programu jalizi kitakuwa amilifu.
Onyesha mazungumzo ya kuchapisha ya mfumo badala ya uhakiki wa kuchapisha.
Mpangilio huu unapowashwa, Google Chrome itafungua mazungumzo ya kuchapisha ya mfumo badala ya uhakiki wa kuchapisha wa kijenzi cha ndani mtumiaji anapoomba ukurasa kuchapishwa.
Iwapo sera hii haitawekwamu itawekwa kuwa uongo, amri za kuchapisha zitachochea skrini ya ukakiki ya kuchapisha.
Inabainisha iwapo ugawanyaji wa kumbukumbu za SSL unafaa kulemazwa. Ugawanyaji wa kumbukumbu unaongeza kazi kwa udhaifu wa SSL 3.0 na TLS 1.0 lakini inaweza kusababisha masuala ya utangamanifu kwa seva na proksi nyingine za HTTPS.
Ikiwa sera haijawekwa, au imewekwa kwa batili, hivyo basi ugawanyaji wa kumbukumbu utatumika kwenye miunganisho ya SSL/TLS ambayo inatumia CBC ciphersuites.
Huduma ya Kuvinjari Salama inaonyesha ukurasa wa kuonya wakati watumiaji wanapovinjari katika tovuti ambazo zimetiwa alama kuwa hasidi. Kuwasha mpangilio huu kunawazuia watumiaji kuondoka kwenye ukurasa wa kuonya hadi kwenye tovuti hasidi.
Ikiwa mpangilio huu utazimwa au hautasanidiwa basi watumiaji wanaweza kuchagua kuendelea hadi kwenye tovuti iliyotiwa alama baada ya kuonyeshwa onyo.
Inazuia kipengele cha kupiga picha za skrini.
Ikiwashwa picha za skrini haziwezi kupigwa kwa kutumia mikato ya kibodi au APl za kiendelezi.
Ikizimwa au isipobainishwa, upigaji picha za skrini unaruhusiwa.
Inalemaza matumizi ya itifaki ya SPDY katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itawezeshwa itifaki ya SPDY haitapatikana katika Google Chrome.
Kuweka sera hii katika kulemazwa kutaruhusu matumizi ya SPDY.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, SPDY itapatikana.
Inabainisha orodha ya programu jalizi ambazo zinalemazwa katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Vibambo vya kadi egemezi '*' na '?' vinaweza kutumiwa kulinganisha misururu ya vibambo vibadala. '*' inalinganisha vibambo kadhaa vibadala huku '?' ikibainisha kibambo kimoja cha chaguo, yaani inalinganisha sufuri au kibambo kimoja. Kibambo cha kutoka ni '\', kwa hivyo ili kulinganisha '*', '?', halisi au vibambo '\', unaweza kuweka '\' mbele yavyo.
Ukiwezesha mpangilio huu, orodha iliyobainishwa ya programu jalizi inatumiwa katika Google Chrome. Programu jalizi zinatiwa alama kama zilizolemazwa katika 'kuhusu:programu jalizi' na watumiaji hawawezi kuziwezesha.
Fahamu kuwa sera hii inaweza kufutwa kwa EnabledPlugins na DisabledPluginsExceptions.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa mtumiaji anaweza kuitumia programu jalizi yoyote iliyosakinishwa kwenye mfumo isipokuwa kwa msimbo mgumu usiotangamana, programu jalizi hatari au zilizochina.
Hubainisha orodha ya programu-jalizi ambazo mtumiaji anaweza kuwasha au kuzima katika Google Chrome.
Herufi wakilishi za '*' na '?' zinaweza kutumika kulinganisha msururu wowote wa herufi zisizo na mpangilio maalum. '*' hulinganisha idadi ya herufi zisizokuwa na mpangilio maalum huku '?' ikibainisha herufi moja ya hiari, kama vile kulinganisha herufi za sufuri au moja. Herufi ya kuondoka ni '\', hivyo kulinganisha herufi halisi za '*', '?', au '\' , unaweza kuweka '\' mbele yake.
Ukiwasha mpangilio huu, orodha iliyobainishwa ya programu-jalizi inaweza kutumika katika Google Chrome. Watumiaji wanaweza kuziwasha au kuzizima katika 'kuhusu:programu-jalizi', hata kama programu-jalizi pia inalingana na mchoro katika DisabledPlugins. Watumiaji pia wanaweza kuwasha au kuzima programu-jalizi ambazo hazilingani na michoro yoyote katika DisabledPlugins, DisabledPluginsExceptions and EnabledPlugins.
Sera hii imewekwa ili kuruhusu uwekaji kwenye orodha ya zilizoondolewa idhini ambapo orodha ya 'DisabledPlugins' ina maingizo ya herufi wakilishili kama kuzima programu-jalizi zote '*' au kuzima programu-jalizi zote za Java '*Java*' lakini msimamizi angependa kuwasha toleo fulani maalum la 'IcedTea Java 2.3'. Toleo hili maalum linaweza kubainishwa katika sera hii.
Kumbuka kuwa jina la programu-jalizi na jina la kikundi cha programu-jalizi lazima lipewe ruhusa. Kila kikundi cha programu-jalizi huonyeshwa katika sehemu tofauti katika kuhusu:programu-jalizi; kila sehemu inaweza ikawa na programu-jalizi moja au zaidi. Kwa mfano, programu-jalizi ya "Shockwave Flash" iko kwenye kikundi cha "Kichezaji cha Adobe Flash", na majina yote lazima yalingane na orodha ya matarajio iwapo programu-jalizi hiyo itapewa ruhusa kwenye orodha ya zilizoondolewa idhini.
Sera hii isipowekwa programu-jalizi yoyote ambayo inalingana na michoro katika 'DisabledPlugins' itafungwa izimwe na watumiaji hawataweza kuiwasha.
Sera hii imeacha kuendesha huduma, tafadhali tumia URL Zilizoondolewa Idhini badala yake. Huzima itifaki za miradi iliyoorodheshwa katika Google Chrome . URL zinazotumia miradi kutoka orodha hii hazitapakia na haziwezi kutembelewa. Iwapo sera hii haitawekwa au orodha ni tupu miradi yote itapatikana katika Google Chrome .
Configures the directory that Google Chrome will use for storing cached files on the disk.
If you set this policy, Google Chrome will use the provided directory regardless whether the user has specified the '--disk-cache-dir' flag or not.
See https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables for a list of variables that can be used.
If this policy is left not set the default cache directory will be used and the user will be able to override it with the '--disk-cache-dir' command line flag.
Husanidi ukubwa wa akiba ambao Google Chrome itatumia kwa ajili ya kuhifadhi faili zilizoakibishwa kwenye diski.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia ukubwa wa akiba uliotolewa bila kujali kama mtumiaji amebainisha alama ya '- ukubwa wa-diski ya-kuakibisha' au la. Thamani iliyobainishwa katika sera hii sio kikomo kisichoweza kurekebishwa bali ni pendekezo la mfumo wa kuakibisha, thamani yoyote chini ya megabaiti chache ni ndogo mno na itazidishwa hadi kiwango cha chini kinachokubalika.
Iwapo thamani ya sera hii ni 0, ukubwa chaguo-msingi wa akiba utatumika lakini mtumiaji hataweza kuibadilisha.
Iwapo sera hii haijawekwa ukubwa chaguo-msingi utatumika na mtumiaji ataweza kubatilisha na alama ya - ukubwa wa-diski ya-akiba.
Inawezesha ubashiri wa mtandao kwenye Google Chrome na kuzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Hii haidhibiti tu uletaji awali wa DNL lakini pia unganishaji awali na uonyeshaji awali wa kurasa za wavuti za TCP na SSL. Jina la sera linarejelea uletaji awali wa DNS kwa sababu za kihistoria.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu kwenye Google Chrome.
Iwapo sera hii itasalia kama haijawekwa, hii itawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Configures the directory that Google Chrome will use for downloading files.
If you set this policy, Google Chrome will use the provided directory regardless whether the user has specified one or enabled the flag to be prompted for download location every time.
See https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables for a list of variables that can be used.
If this policy is left not set the default download directory will be used and the user will be able to change it.
Allows Smart Lock to be used on Google Chrome OS devices.
If you enable this setting, users will be allowed to use Smart Lock if the requirements for the feature are satisfied.
If you disable this setting, users will not be allowed to use Smart Lock.
If this policy is left not set, the default is not allowed for enterprise-managed users and allowed for non-managed users.
Inawezesha au kulemaza uhariri wa alamisho katika Google Chrome.
Ukiwezesha mpangilio huu, alamisho zinaweza kuongezwa, kuondolewa au kurekebishwa. Hiii ndiyo chaguo-msingi pia sera hii inapokuwa haijawekwa.
Ukilemaza mpangilio huu, alamisho haziwezi kuongezwa, kuondolewa au kurekebishwa. Alamisho zilizopo bado zinapatikana.
Enables the old web-based signin flow.
This setting was named EnableWebBasedSignin prior to Chrome 42, and support for it will be removed entirely in Chrome 43.
This setting is useful for enterprise customers who are using SSO solutions that are not compatible with the new inline signin flow yet. If you enable this setting, the old web-based signin flow would be used. If you disable this setting or leave it not set, the new inline signin flow would be used by default. Users may still enable the old web-based signin flow through the command line flag --enable-web-based-signin.
The experimental setting will be removed in the future when the inline signin fully supports all SSO signin flows.
Specify a list of deprecated web platform features to re-enable temporarily.
This policy gives administrators the ability to re-enable deprecated web platform features for a limited time. Features are identified by a string tag and the features corresponding to the tags included in the list specified by this policy will get re-enabled.
If this policy is left not set, or the list is empty or does not match one of the supported string tags, all deprecated web platform features will remain disabled.
While the policy itself is supported on the above platforms, the feature it is enabling may be available on fewer platforms. Not all deprecated Web Platform features can be re-enabled. Only the ones explicitly listed below can be for a limited period of time, which is different per feature. The general format of the string tag will be [DeprecatedFeatureName]_EffectiveUntil[yyyymmdd]. As reference, you can find the intent behind the Web Platform feature changes at https://bit.ly/blinkintents.
Kutokana na sababu kwamba, ukaguzi wa ubatilishaji wa mtandaoni unaoshindwa chinichini hautoi usalama bora unaofanya kazi, unazimwa kwa chaguo-msingi katika toleo la 19 la Google Chrome na mapya zaidi. Kwa kuweka sera hii kuwa ndivyo, tabia ya awali inarejeshwa na ukaguzi wa mtandaoni wa OCSP/CRL utatekelezwa.
Ikiwa sera hii haitawekwa, au ikiwekwa kuwa sivyo, basi Google Chrome haitatekeleza ukaguzi wa ubatilishaji wa mtandaoni katika Google Chrome 19 na matoleo mapya zaidi.
Inabainisha orodha ya programu jalizi ambazo zinalemazwa katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Vibambo vya kadi egemezi '*' na '?' vinaweza kutumiwa kulinganisha misururu ya vibambo vibadala. '*' inalinganisha vibambo kadhaa vibadala huku '?' ikibainisha kibambo kimoja cha chaguo, yaani inalinganisha sufuri au kibambo kimoja. Kibambo cha kutoka ni '\', kwa hivyo ili kulinganisha '*', '?', halisi au vibambo '\', unaweza kuweka '\' mbele yavyo.
Orodha ya programu jalizi iliyobainishwa inatumiwa mara kwa mara katika Google Chrome ikiwa zimesakinishwa. Programu jalizi zinatiwa alama kama zilizowezeshwa katika 'kuhusu:programu jalizi' na watumiaji hawawezi kuzilemaza.
Fahamu kuwa sera hii inafuta DisabledPlugins na DisabledPluginsExceptions.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa mtumiaji anaweza kuilemaza programu yoyote iliyosakinishwa kwenye mfumo huu.
Mpangilio huu hautumiki kutoka toleo la 29 laGoogle Chrome. Njia iliyopendekezwa ya kuanzisha kiendelezi cha shirika kilichopangishwa/makusanyo ya programu ni pamoja na kujumuisha tovuti inayopangisha CRX katika ExtensionInstallSources na kuweka viungo vya kupakua vifungu hivyo moja kwa moja kwenye ukurasa wa wavuti. Kizinduzi cha ukurasa huo wa wavuti kinaweza kuundwa kutumia sera ya ExtensionInstallForcelist.
Mpangilio huu hautumiki kutoka toleo la 29 laGoogle Chrome. Njia iliyopendekezwa ya kuanzisha kiendelezi cha shirika kilichopangishwa/makusanyo ya programu ni pamoja na kujumuisha tovuti inayopangisha CRX katika ExtensionInstallSources na kuweka viungo vya kupakua vifungu hivyo moja kwa moja kwenye ukurasa wa wavuti. Kizinduzi cha ukurasa huo wa wavuti kinaweza kuundwa kutumia sera ya ExtensionInstallForcelist.
Google Chrome OS caches Apps and Extensions for installation by multiple users of a single device to avoid re-downloading them for each user. If this policy is not configured or the value is lower than 1 MB, Google Chrome OS will use the default cache size.
Lemaza upachikaji wa hifadhi ya nje.
Sera hii inapowekwa kwenye Ndivyo, hifadhi ya nje haitapatikana kwenye kivinjari cha faili.
Sera hii inaathiri aina zote za midia ya hifadhi. Kwa mfano: hifadhi za mweko wa USB, hifadhi kuu za nje, hifadhi ya optiki n.k. Hifadhi ya ndani haiathiriwi, kwa hivyo faili zilizohifadhiwa katika folda ya Upakuaji bado inaweza kufikiwa. Hifadhi ya Google pia haiathiriwi na sera hii.
Ikiwa mpangilio huu utalemazwa au hautasanidiwa basi watumiaji wanaweza kutumia aina zote zilizohimiliwa za hifadhi ya nje kwenye vifaa vyazo.
Kama imewekwa kuwashwa sera hii hulazimisha mfumo kubadilishwa kuwa hali ya muda mfupi. Kama sera hii imebainishwa kama sera ya Mfumo wa Uendeshaji (k.m. GPO kwenye Windows) itatumika kwa kila wasifu kwenye mfumo; ikiwa sera imewekwa kama sera ya Wingu itatumika tu kwa wasifu uliyoingia katika akaunti na akaunti inayosimamiwa.
Katika hali hii data ya wasifu inawekwa kwenye diski kwa urefu wa kipindi cha mtumiaji. Vipengee kama vile historia ya kivinjari, viendelezi na data zao, data ya wavuti kama vidakuzi na hifadhidata haziwekwi salama baada kivinjari kimefungwa. Hata hivyo, hii haizuii mtumiaji kujipakulia data yoyote kwenye diski, kuhifadhi kurasa au kuzichapisha.
Kama mtumiaji amewasha sawazisha zote data hii inahifadhiwa katika wasifu wake wa kusawazisha kama ilivyo na wasifu za kawaida. Pia Hali fiche inapatikana kama haijazimwa na sera.
Kama sera imewekwa kuwa imezimwa ama imeachwa bila kuwekwa kuingia katika akaunti huelekeza katika wasifu wa kawaida.
Hulazimisha maswali katika Utafutaji wa Wavuti wa Google kufanywa na SafeSearch ikiwa imewashwa na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha mpangilio huu, SafeSearch katika Utafutaji wa Google huwa imewashwa wakati wote.
Ukifunga mpangilio huu au usipoweka thamani, SafeSearch katika Utafutaji wa Google haitekelezwi.
If this policy is set to true, Google Chrome will unconditionally maximize the the first window shown on first run. If this policy is set to false or not configured, a heuristic will decide whether to maximize the first window shown, based on the screen size.
This policy is deprecated, please use ForceGoogleSafeSearch and ForceYouTubeSafetyMode instead. This policy will be ignored if either the ForceGoogleSafeSearch or ForceYouTubeSafetyMode policies are set.
Forces queries in Google Web Search to be done with SafeSearch set to active and prevents users from changing this setting. This setting also forces Safety Mode on YouTube.
If you enable this setting, SafeSearch in Google Search and YouTube is always active.
If you disable this setting or do not set a value, SafeSearch in Google Search and YouTube is not enforced.
Forces YouTube Safety Mode to active and prevents users from changing this setting.
If you enable this setting, Safety Mode on YouTube is always active.
If you disable this setting or do not set a value, Safety Mode on YouTube is not enforced.
Ruhusu hali ya skrini nzima.
Sera hii inadhibiti upatikanaji wa hali ya skrini nzima ambayo UI yote ya Google Chrome imefichwa na ni maudhui ya wavuti tu yanayoonekana.
Sera hii ikiwekwa kuwa ndivyo ama isisanidiwe, mtumiaji, programu na viendelezi vyenye ruhusa inayofaa vinaweza kuingia katika hali ya skrini nzima.
Sera hii ikiwekwa kuwa sivyo, mtumiaji ama programu haziwezi kuingia katika hali ya skrini nzima.
Kwenye mifumo yote, isipokuwa Google Chrome OS, skrini nzima haipatikani wakati hali ya skrini nzima imezimwa.
Configures the directory that Google Chrome Frame will use for storing user data.
If you set this policy, Google Chrome Frame will use the provided directory.
See https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables for a list of variables that can be used.
If this setting is left not set the default profile directory will be used.
Use hardware acceleration when available.
If this policy is set to true or left unset, hardware acceleration will be enabled unless a certain GPU feature is blacklisted.
If this policy is set to false, hardware acceleration will be disabled.
Send monitoring heartbeats to the management server, to allow the server to detect if the device is offline.
If this policy is set to true, monitoring heartbeats will be sent. If set to false or unset, then no heartbeats will be sent.
How frequently monitoring heartbeats are sent, in milliseconds.
If this policy is unset, the default frequency is 3 minutes. The minimum frequency is 30 seconds and the maximum frequency is 24 hours - values outside of this range will be clamped to this range.
Ficha programu ya Duka la Chrome Wavutini na kiungo cha kijachini kutoka kwenye Ukurasa Mpya wa Kichupo na kifungua programu cha Google Chrome OS.
Sera hii inapowekwa kuwa ndivyo, ikoni hufichwa.
Sera hii inapowekwa kuwa sivyo au isiposanidiwa, ikoni huonekana.
Wakati imewekwa kwenye Ndivyo, utambulishaji wa programu za Duka la Wavuti la Chrome hautaionekana katika ukurasa wa kichupo kipya.
Kuweka chaguo hili kwa Siyo Ndivyo au kuliacha kama halijawekwa kutafanya utambulishaji wa programu za Duka la wavuti la Chrome katika ukurasa wa kichupo kipya.
This policy forces the autofill form data to be imported from the previous default browser if enabled. If enabled, this policy also affects the import dialog.
If disabled, the autofill form data is not imported.
If it is not set, the user may be asked whether to import, or importing may happen automatically.
Sera hii ikitekelezwa, hulazimisha alamisho kuingizwa kutoka kivinjari chaguo-msingi cha sasa. Ikitekelezwa, sera hii pia itaathiri kidadisi cha kuingiza.
Isipotekelezwa, hakuna alamishi zitakazoingizwa.
Ikiwa hii haitawekwa, huenda mtumiaji akaulizwa aingize alamisho, au huenda zikaingizwa kiotomatiki.
Sera hii inalazimisha historia ya kuvinjari kuletwa kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi cha sasa ikiwa imewezeshwa. Ikiwa imewezeshwa, sera hii pia inaathiri kidadisi cha kuleta.
Ikiwa imelemazwa, hakuna historia ya kuvinjari inayoletwa.
Ikiwa haijawekwa, mtumiaji anaweza kuombwa iwapo anataka kuleta, au uletaji unaweza kufanyika kiotomatiki.
Sera hii inalazimisha ukurasa wa kwanza kuingizwa kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi cha sasa, kikiwashwa.
Ikilemazwa, ukurasa wa mwanzo hautaletwa.
Ikiwa hautawekwa, huenda mtumiaji akaombwa kuleta, au huenda uletaji ukatendeka kiotomatiki.
Sera hii inalazimisha manaenosiri yaliyohifadhiwa kuletwa kutoka kwenye kivinjari chaguo-msingi cha awali ikiwezeshwa. Ikiwezeshwa, sera hii pia inaathiri kidadisi cha kuleta.
Ikilemazwa, manenosiri yaliyohifadhiwa hayataletwa.
Ikiwa haitawekwa, huenda mtumiaji akaombwa kuleta, au huenda uletaji ukatendeka kiotomatiki.
Sera hii inailazimisha mitambo ya kutafuta kuingizwa kutoka kivinjari chaguo-msingi cha sasa iwapo itawashwa. Ikiwashwa, sera hii pia itaathiri kidadisi cha kuingiza.
Ikizimwa, mtambo chaguo-msingi wa kutafuta hauingizwi.
Ikiwa haitawekwa, mtumiaji anaweza kuomba aingize, au huenda ungizaji ukatendeka kiotomatiki.
Sera hii imepitwa na wakati. Tafadhali, tumia IncognitoModeAvailability badala yake. Huwasha hali fiche katika Google Chrome.
Ikiwa mpangilio huu umewashwa au haujasanidiwa, watumiaji wanaweza kufungua kurasa za wavuti katika hali fiche.
Ikiwa mpangilio huu umezimwa, watumiaji hawawezi kufungua kurasa za wavuti katika hali fiche.
Ikiwa sera hii itawachwa ikiwa haijawekwa, hii itawashwa na mtumiaji ataweza kutumia hali fiche.
Hubainisha iwapo mtumiaji anaweza kufungua kurasa katika hali Fiche kwenye Google Chrome.
Ikiwa hiari ya 'Imewashwa' imechaguliwa au sera haijawekwa, huenda kurasa zikafunguliwa katika hali Fiche.
Ikiwa hiari ya 'Imezimwa' imechaguliwa, huenda kurasa zisifunguliwe katika hali Fiche.
Ikiwa hiari ya 'Imelazimishwa' imechaguliwa, huenda kurasa zikafunguliwa TU katika hali Fiche.
Huwasha kipengee cha Papo Hapo cha Google Chrome na kuzuia watumiaji kubadilisha mipangilio hii. Ukiwasha mipangilio hii, Papo Hapo ya Google Chrome itawashwa. Ukizima mipangilio hii, Papo Hapo ya Google Chrome itazimwa. Ukiwasha au kuzima mipangilio hii, watumiaji hawawezi kubadilisha au kubatilisha mipangilio hii. Ikiwa mipangilio hii haitawekwa mtumiaji anaweza kuamua kutumia au kutotumia chaguo hili la kukokotoa. Mipangilio hii imeondolewa kwenye Google Chrome 29 na matoleo mapya zaidi.
Sera hii imepingwa, tafadhali tumia DefaultJavaScriptSetting badala yake.
Inaweza kutumiwa kulemaza JavaScript kwenye Google Chrome.
Iwapo mpangilio huu umelemazwa, kurasa za wavuti haziwezi kutumia JavaScript na mtumiaji hawezi kubadilisha mpangilio huo.
Iwapo mpangilio huu umezimwa au la, kurasa za wavuti zinaweza kutumia JavaScript lakini mtumiaji anaweza kubadilisha mpangilio huo.
Hutoa idhini ya kufikia vitufe vya shirika vya viendelezi.
Vitufe vinateuliwa kwa matumizi ya shirka ikiwa vitazalishwa kwa kutumia API ya chrome.platformKeys kwenye akaunti inayodhibitiwa. Vitufe vinavyoletwa au kuzalishwa kwa njia nyingine haviteuliwi kwa ajili ya matumizi ya shirika.
Uwezo wa kufikia vitufe vilivyoteuliwa kwa ajili ya matumizi ya shirika unadhibitiwa mahususi na sera hii. Mtumiaji hawezi kutoa idhini wala kuondoa uwezo wa kufikia vitufe vya shirika kuenda au kutoka kwenye viendelezi.
Kwa chaguo-msingi kiendelezi hakiwezi kutumia kitufe kilichoteuliwa kwa ajili ya matumizi ya shirika, ambayo ni sawa na kuweka allowCorporateKeyUsage kwenye sivyo kwa kiendelezi hicho.
Ikiwa tu allowCorporateKeyUsage itawekwa kuwa ndivyo kwa kiendelezi, inaweza kutumia mfumo wa kitufe chochote kilichowekewa alama kwa ajili ya matumizi ya shirika kutia sahihi data isiyo na mpangilio. Ruhusa hii inapaswa tu kutolewa kama kiendelezi kinaaminiwa kuweka ufikiaji salama wa kitufe dhidi ya wavamizi.
Send system logs to the management server, to allow admins to monitor system logs.
If this policy is set to true, system logs will be sent. If set to false or unset, then no system logs will be sent.
Configures a list of managed bookmarks.
The policy is a list of bookmarks, and each bookmark is a dictionary containing the bookmark "name" and the target "url". A bookmark can also be configured as a folder. In that case, define the folder "name" but don't define an "url"; instead, define the folder contents as another list of bookmarks under the "children" key. Chrome will amend incomplete URLs as if they were submitted via the Omnibox. For example, "google.com" becomes "https://google.com/".
These bookmarks are placed in a Managed bookmarks folder that can't be modified by the user, but the user can choose to hide it from the bookmark bar. Managed bookmarks are not synced to the user account and can't be modified by extensions.
Inabainisha idadi ya juu ya miunganisho sawia katika seva ya proksi.
Seva nyingine za proksi haziwezi kushughulikia idadi kubwa ya miunganisho inayoendana kwa kila mteja na hii inaweza kutatuliwa kwa kuweka sera hii hadi katika thamani ya chini.
Thamani ya sera hii inapaswa kuwa chini ya 100 na kubwa kwa 6 na thamani chaguo-msingi ni 32.
Programu nyingine za wavuti zinajulikana kutumia miunganisho mingi kwa GET zinazoning'inia, kwa hivyo kupunguza chini ya 32 kunaweza kusababisha kuning'inia kwa mytando wa kuvinjari ikiwa programu nyingi kama hizo zimefungka. Punguza hadi chini ya chaguo-msingi kwa tahadhari yako.
Ikiwa sera hii itasalia kama haijawekwa thamani chaguo-msingi itatumika ambayo ni 32.
Hubainisha upeo wa ucheleweshaji katika milisekunde kati ya wakati wa kupokea uthibitishaji wa sera na uletaji wa sera mpya kutoka kwenye huduma ya usimamizi wa kifaa.
Kuweka sera hii kunapuuzia thamani chaguo-msingi ya milisekunde 5000. Thamani halali za sera hii ziko kati ya 1000 (sekunde 1) na 300000 (dakika 5 min). Thamani zozote zisizo katika mfululizo huu zitaunganishwa kwenye mpaka husika.
Kuacha sera hii bila kuiweka kutafanya Google Chrome itumie thamani chaguo-msingi ya milisekunde 5000.
Husanidi ukubwa wa akiba ambao Google Chrome itatumia kwa ajili ya kuhifadhi faili zilizoakibishwa kwenye diski.
Ukiweka sera hii, Google Chrome itatumia ukubwa wa akiba uliotolewa bila kujali kama mtumiaji amebainisha alama ya '- disk-cache-size' au la. Thamani iliyobainishwa katika sera hii sio kikomo kisichoweza kurekebishwa bali ni pendekezo la mfumo wa Kuakibisha, thamani yoyote chini ya megabaiti chache ni ndogo mno na itazidishwa hadi kiwango cha chini kinachokubalika.
Iwapo thamani ya sera hii ni 0, ukubwa chaguo-msingi wa akaiba utatumika lakini mtumiaji hataweza kuibadilisha.
Iwapo sera hii haijawekwa ukubwa chaguo-msingi utatumika na mtumiaji ataweza kubatilisha na alama ya- ukubwa wa-diski ya-akiba.
Enables anonymous reporting of usage and crash-related data about Google Chrome to Google and prevents users from changing this setting.
If this setting is enabled, anonymous reporting of usage and crash-related data is sent to Google. If it is disabled, this information is not sent to Google. In both cases, users cannot change or override the setting. If this policy is left not set, the setting will be what the user chose upon installation / first run.
This policy is not available on Windows instances that are not joined to an Active Directory domain. (For Chrome OS, see DeviceMetricsReportingEnabled.)
Enables network prediction in Google Chrome and prevents users from changing this setting.
This controls DNS prefetching, TCP and SSL preconnection and prerendering of web pages.
If you set this preference to 'always', 'never', or 'WiFi only', users cannot change or override this setting in Google Chrome.
If this policy is left not set, network prediction will be enabled but the user will be able to change it.
Inaruhusu kusukuma kwa usanidi wa mtandao kutekelezwa kwa kila mtumiaji katika kifaa cha Google Chrome OS. Usanidi wa mtandao ni mtungo ulioumbizwa wa JSON kama ilivyofasiliwa kwa umbizo la Fungua Usanidi wa Mtandao ilivyofafanuliwa katika https://sites.google.com/a/chromium.org/dev/chromium-os/chromiumos-design-docs/open-network-configuration
Inaorodhesha vitambuaji vya programu Google Chrome OS huonyesha kama programu zilizobanwa katika upau wa kizinduzi.
Ikiwa sera hii itasanidiwa, uwekaji wa programu ni wa kudumu na hauwezi kubadilishwa na mtumiaji..
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, huenda mtumiaji akabadilisha orodha ya programu zilizobanwa katika kizinduzi.
Inabainisha muda katika milisekunde ambapo huduma ya usimamizi wa kifaa inahojiwa kwa maelezo ya sera ya mtumiaji.
Kuweka sera hii kunafuta thamani chaguo-msingi ya saa 3. Thamani halali za sera hii zinaanzia kutoka1800000 (dakika 30) hadi 86400000 (siku 1). Thamani zozote ambazo hazimo katika kiwango hiki zitasogezwa hadi katika mpaka unaolingana nazo.
Kuacha sera hii ikiwa haijawekwa kutafanya Google Chrome kutumia thamani chaguo-msingi ya saa 3.
Huwasha kuchapisha katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Iwapo mpangilio huu utawashwa au hautasanidiwa, watumiaji wanaweza kuchapisha.
Iwapo mpangilio huu utazimewa, watumiaji hawawezi kuchapisha kutoka kwenye Google Chrome. Uchapishaji utafungwa katika menyu spana, viendelezi, programu za, n.k. Bado kuna uwezekano wa kuchapisha kutoka kwenye programu jalizi zinazopuuza Google Chrome wakati wa kuchapisha. Kwa mfano, programu fulani za Flash zina chaguo la kuchapisha katika menyu zao za muktadha, ambazo hazisimamiwi na sera hii.
If this policy is set to true or not set usage of QUIC protocol in Google Chrome is allowed. If this policy is set to false usage of QUIC protocol is disallowed.
Ratibisha kuwasha tena kiotomatiki baada ya sasisho la Google Chrome OS limetumika.
Sera hii inapowekwa kuwa kweli, kuwasha tena kiotomatiki kunaratibiwa wakati sasisho la Google Chrome OS limetumika na kuwasha tena kunahitajika ili kumaliza mchakato wa sasisho. Kuwasha tena kunaratibiwa mara moja lakini kunaweza kucheleweshwa kwenye kifaa hadii saa 24 kama mtumiaji anatumia kifaa kwa sasa.
Sera hii inapowekwa kuwa haitumiki, hakuna kuwasha tena kunakoratibiwa baada ya kutumia sasisho la Google Chrome OS. Mchakato wa sasisho hukamilika mtumiaji anapowasha tena kifaa.
Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Kumbuka: Kuwasha tena kiotomatiki huwashwa tu wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa au kipindi cha programu ya kioski kinaendelea kwa sasa. Hii itabadilika katika siku zijazo na sera itatumika kila wakati, bila kujali kama kipindi cha aina yoyote kinaendelea au la.
Ripoti muda wa shughuli za kifaa.
Ikiwa mpangilio huu hautawekwa au utawekwa kuwa Ukweli, vifaa vilivyosajiliwa vitaripoti vipindi vya muda mtumiaji anapotumia kifaa. Ikiwa mpangilio huu utawekwa kuwa Uongo, muda wa shughuli za kifaa hautarekodiwa wala kuripotiwa.
Ripoti hali ya ubadilishaji wa kifaa cha dev wakati wa kuwasha.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa uongo, hali ya ubadilishaji wa dev haitaripotiwa.
Report hardware statistics such as CPU/RAM usage.
If the policy is set to false, the statistics will not be reported. If set to true or left unset, statistics will be reported.
Ripoti orodha ya violesura vya mtandao vilivyo na aina zao na anwani za maunzi kwenye seva.
Ikiwa sera itawekwa kuwa Uongo, orodha ya violesura haitaripotiwa.
Report information about the active kiosk session, such as application ID and version.
If the policy is set to false, the session information will not be reported. If set to true or left unset, session information will be reported.
Ripoti orodha ya watumiaji wa kifaa ambao waliingia katika akaunti hivi karibuni.
Ikiwa sera imewekwa kuwa uongo, watumiaji hawataripotiwa.
Ripoti toleo la OS na programu dhibiti ya vifaa vilivyosajiliwa.
Ikiwa mpangilio huu hautawekwa au utawekwa kuwa Ukweli, vifaa vilivyosajiliwa vitaripoti toleo la OS na programu dhibiti kila mara. Ikiwa mpangilio huu utawekwa kuwa Uongo, maelezo ya toleo hayataripotiwa.
How frequently device status uploads are sent, in milliseconds.
If this policy is unset, the default frequency is 3 hours. The minimum allowed frequency is 60 seconds.
Mipangilio hii inapowashwa, Google Chrome itakagua ubatilishaji wa vyeti vya seva ambavyo vinathibitishwa na vimetiwa sahihi na vyeti vya CA vilivyosakinishwa kwa karibu wakati wote.
Kama Google Chrome haiwezi kupata maelezo ya hali ya ubatilishaji, vyeti kama hivyo vitachukuliwa kuwa vimefutwa ('hard-fail').
Sera hii isipowekwa, au ikiwekwa kuwa sivyo, basi Google Chrome itatumia mipangilio iliyopo ya kukagua ubatilishaji.
Ina ulinganishaji wa kawaida unaotumiwa kuamua watumiaji gani wanaoweza kuingia kwenye Google Chrome.
Hitilafu inayofaa inaonyeshwa ikiwa mtumiaji anajaribu kuingia kwa jina la mtumiaji lisilolingana na ruwaza hii.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa au tupu, basi mtumiaji yeyote anaweza kuingia kwenye Google Chrome.
Weka kikomo cha muda ambao mtumiaji aliyeithibitishwa kupitia SAML anaweza kuingia katika akaunti nje ya mtandao.
Wakati wa kuingia katika akaunti, Google Chrome OS inaweza kuthibitisha dhidi ya seva (mtandaoni) au kwa kutumia nenosiri lililoakibishwa (nje ya mtandao).
Sera hii inapowekwa kuwa thamani ya -1, mtumiaji anaweza kuthibitisha nje ya mtandao kwa muda usiobainishwa. Sera hii inapowekwa thamani nyingine yoyote, hubainisha urefu wa muda tangu uthibitishaji wa mtandaoni wa mwisho, baada ya hapo mtumiaji lazima atumie uthibitishaji wa mtandaoni tena.
Kuacha sera hii bila kuiweka kutafanya Google Chrome OS itumie kikomo cha muda chaguo-msingi cha siku 14, baada ya hapo mtumiaji lazima atumie uthibitishaji wa mtandaoni tena.
Sera hii inaathiri watumiaji waliothibitisha kwa kutumia SAML pekee.
Nambari ya sera inafaa kubainishwa katika sekunde.
Chrome shows a warning page when users navigate to sites that have SSL errors. By default or when this policy is set to true, users are allowed to click through these warning pages. Setting this policy to false disallows users to click through any warning page.
Warning: The TLS 1.0 version fallback will be removed from Google Chrome after version 47 (around January 2016) and the "tls1" option will stop working then.
When a TLS handshake fails, Google Chrome will retry the connection with a lesser version of TLS in order to work around bugs in HTTPS servers. This setting configures the version at which this fallback process will stop. If a server performs version negotiation correctly (i.e. without breaking the connection) then this setting doesn't apply. Regardless, the resulting connection must still comply with SSLVersionMin.
If this policy is not configured then Google Chrome uses a default minimum version which is TLS 1.0 in Google Chrome 44 and TLS 1.1 in later versions. Note this does not disable support for TLS 1.0, only whether Google Chrome will work around buggy servers which cannot negotiate versions correctly.
Otherwise it may be set to one of the following values: "tls1", "tls1.1" or "tls1.2". If compatibility with a buggy server must be maintained, this may be set to "tls1". This is a stopgap measure and the server should be rapidly fixed.
A setting of "tls1.2" disables all fallback but this may have a significant compatibility impact.
Warning: SSLv3 support will be entirely removed from Google Chrome after version 43 (around July 2015) and this policy will be removed at the same time.
If this policy is not configured then Google Chrome uses a default minimum version which is SSLv3 in Google Chrome 39 and TLS 1.0 in later versions.
Otherwise it may be set to one of the following values: "sslv3", "tls1", "tls1.1" or "tls1.2". When set, Google Chrome will not use SSL/TLS versions less than the specified version. An unrecognized value will be ignored.
Note that, despite the number, "sslv3" is an earlier version than "tls1".
Huwasha kipengee cha Kuvinjari Salama cha Google Chrome na kuzuia watumiaji kutoka kubadilisha mpangilio huu. Kama utawasha mpangilio huu, Kuvinjari Salama kutatumika kila wakati. Kama utazima mpangilio huu, Kuvinjari Salama hakutatumika kamwe. Kama utawasha au kuzima mpangilio huu, watumiaji hawezi kubadilisha au kupuuza mpangilio wa "Washa ulinzi wa kuhadaa na programu hasidii" katika Google Chrome. Kama sera hii haitawekwa, hii itawashwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Setting this policy to false stops users from choosing to send information about security errors they encounter to Google servers. If this setting is true or not configured, then users will be allowed to send information when they encounter an SSL error or Safe Browsing warning.
Disables saving browser history in Google Chrome and prevents users from changing this setting.
If this setting is enabled, browsing history is not saved. This setting also disables tab syncing.
If this setting is disabled or not set, browsing history is saved.
Inawezesha mapendekezo ya utafutaji katika sanduKuu ya Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha mpangilio huu, mapendekezo ya utafutaji yanatumiwa.
Ukifunga mpangilio huu, mapendekezo ya utafutaji hayatumiwi kamwe.
Ukiwasha au kufunga mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, hii itawezeshwa lakini mtumiaji ataweza kuibadilisha.
Punguza urefu wa kipindi cha mtumiaji.
Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda ambapo baadaye mtumiaji anaondoka, na kumaliza kipindi. Mtumiaji anafahamishwa kuhusu muda unaosalia na kipima wakati cha muda unaosalia kinachoonyeshwa katika chano la mfumo.
Sera hii inapokuwa haijawekwa, urefu wa kipindi haupunguzwi.
Ukuweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Thamani ya sera inastahili kubainishwa katika milisekunde. Thamani zinabanwa kwenye masafa ya sekunde 30 hadi saa 24.
Sets one or more recommended locales for a public sessions, allowing users to easily choose one of these locales.
The user can choose a locale and a keyboard layout before starting a public session. By default, all locales supported by Google Chrome OS are listed in alphabetic order. You can use this policy to move a set of recommended locales to the top of the list.
If this policy is not set, the current UI locale will be pre-selected.
If this policy is set, the recommended locales will be moved to the top of the list and will be visually separated from all other locales. The recommended locales will be listed in the order in which they appear in the policy. The first recommended locale will be pre-selected.
If there is more than one recommended locale, it is assumed that users will want to select among these locales. Locale and keyboard layout selection will be prominently offered when starting a public session. Otherwise, it is assumed that most users will want to use the pre-selected locale. Locale and keyboard layout selection will be less prominently offered when starting a public session.
When this policy is set and automatic login is enabled (see the |DeviceLocalAccountAutoLoginId| and |DeviceLocalAccountAutoLoginDelay| policies), the automatically started public session will use the first recommended locale and the most popular keyboard layout matching this locale.
The pre-selected keyboard layout will always be the most popular layout matching the pre-selected locale.
This policy can only be set as recommended. You can use this policy to move a set of recommended locales to the top but users are always allowed to choose any locale supported by Google Chrome OS for their session.
Dhibiti kujificha kiotomatiki kwa rafu ya Google Chrome OS.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa 'IjificheYenyeweKilaWakati', rafu itajificha kiotomatiki kila wakati.
Iwapo sera hii itawekwa kuwa 'IsiwahiKujifichaYenyewe', rafu haitawahi kujificha kiotomatiki.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Iwapo sera itaachwa bila kuwekwa, watumiaji wanaweza kuamua iwapo rafu itajificha kiotomatiki.
Huwasha au kuzima njia ya mkato ya programu katika sehemu ya alamisho.
Ikiwa sera hii haitawekwa basi mtumiaji anaweza kuamua kuonyesha au kuficha njia ya mkato ya programu kutoka kwenye menyu ya muktadha ya sehemu ya alamisho.
Ikiwa sera hii itasanidiwa basi mtumiaji hawezi kuibadilisha, na njia ya mkato ya programu kuonyeshwa au kutoonyeshwa kila mara.
Inaonyesha kitufe cha Mwanzo kwenye upauzana wa Google Chrome.
Ukiwezesha mpangilio huu, kila mara kitufe cha Mwanzo kinaonyeshwa.
Ukilemaza mpangilio huu, kitufe cha Mwanzo hakionyeshwi tena.
Ukiwezesha au kulemaza mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu kwenye Google Chrome.
Kuacha sera hii kama haijawekwa kutaruhusu mtumiaji kuchagua iwapo ataonyesha kitufe cha mwanzo.
Huongeza kitufe cha kuondoka kwenye chano la mfumo.
Kikiwashwa, kitufe kikubwa cha kuondoka chekundu kitaonyeshwa katika chano la mfumo kipindi kinapowaka na skrini haitafungwa.
Iwapo kitafungwa au kutobainishwa, hakuna kitufe kikubwa chekundu cha kuondoka kitaonyeshwa katika chano la mfumo.
This policy is deprecated, consider using SyncDisabled instead.
Allows the user to sign in to Google Chrome.
If you set this policy, you can configure whether a user is allowed to sign in to Google Chrome. Setting this policy to 'False' will prevent apps and extensions that use the chrome.identity API from functioning, so you may want to use SyncDisabled instead.
Google Chrome inaweza kutumia huduma ya wavuti ya Google ili kusaidia kutatua hitilafu za tahajia. Ikiwa mpangilio huu umewezeshwa, basi huduma hii inatumika kila mara. Ikiwa mpangilio huu unalemazwa, basi huduma hii haitumiki kamwe.
Ukaguzi tahajia bado unaweza kutekelezwa kwa kutumia kamusi iliyopakuliwa; sera hii inadhibiti tu matumizi ya huduma ya mtandaoni.
Ikiwa mpangilio huu haujasanidiwa basi watumiaji wanaweza kuchagua iwapo huduma ya ukaguzi tahajia unapaswa kutumika au la.
Didimiza kukataa kuuliza ambako huonekana tovuti inapotolewa na Google Chrome Frame .
Huzima usawazishaji wa data katika Google Chrome kwa kutumia huduma za usawazishaji zilizopangishwa za Google na huzuia watumiaji kuubadilisha mpangilio huu.
Ukiwasha mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio huu katika Google Chrome.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa Usawazishaji wa Google utapatikana kwa watumiaji watakaochagua kuutumia au kutoutumia.
Specifies the timezone to be used for the device. Users can override the specified timezone for the current session. However, on logout it is set back to the specified timezone. If an invalid value is provided, the policy is still activated using "GMT" instead. If an empty string is provided, the policy is ignored.
If this policy is not used, the currently active timezone will remain in use however users can change the timezone and the change is persistent. Thus a change by one user affects the login-screen and all other users.
New devices start out with the timezone set to "US/Pacific".
The format of the value follows the names of timezones in the "IANA Time Zone Database" (see "https://en.wikipedia.org/wiki/Tz_database"). In particular, most timezones can be referred to by "continent/large_city" or "ocean/large_city".
Hubainisha muundo wa saa ili kutumiwa kwa kifaa.
Sera hii husanidi muundo wa saa ili kutumia kwenye skrini ya kuingia katika akaunti na kama chaguo-msingi kwa vipindi vya watumiaji. Bado watumiaji wanaweza kuubatilisha muundo wa saa kwa akaunti yao.
Ikiwa sera itawekwa kuwa kweli, kifaa kitatumia muundo wa saa ya saa 24. Ikiwa sera hii itawekwa kuwa uongo, kifaa kitatumia muundo wa saa ya saa 12.
Ikiwa sera hii haitawekwa, kifaa kitapuuza kuwa muundo wa saa ya saa 24.
Huweka Sheria na Masharti ambayo lazima mtumiaji akubali kabla ya kuanzisha kipindi cha akaunti ya kifaa cha karibu nawe.
Sera hii ikiwekwa, Google Chrome OS itapakua Sheria na Masharti na kuyawasilisha kwa mtumiaji kipindi cha akaunti cha kifaa cha karibu nawe kianzapo. mtumiaji ataruhusiwa tu katika kipindi baada ya kukubali Sheria na Masharti.
Iwapo sera hii haitawekwa, sheria na masharti hayataonyeshwa.
Sera itawekwa kwenye URL ambapo Google Chrome OS inaweza kupakua Sheria na masharti. Lazima Sheria na Masharti yawe maandishi matupu, yawe kama maandishi ya kuandika/matupu ya MIME. Markup hairuhusiwi.
Sera hii inasanidi kuwasha kibodi pepe kama kifaa cha kuingiza data kwenye ChromeOS. Watumiaji hawawezi kuibatilisha sera hii.
Ikiwa sera hii itawekwa kuwa ndivyo, kibodi pepe ya skrini itawashwa wakati wowote.
Ikiwekwa kuwa sivyo, kibodi pepe ya skrini itazimwa wakati wowote.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuibatilisha. Hata hivyo, watumiaji bado wataweza kuwasha/kuzima kibodi pepe ya skrini ya ufikiaji inayopewa kipaumbele dhidi ya kibodi pepe inayodhibitiwa na sera hii. Angalia sera ya |VirtualKeyboardEnabled| kwa kudhibiti kibodi pepe ya skrini ya ufikiaji.
Ikiwa sera hii itaachwa bila kuwekwa, kibodi ya skrini inazimwa mwanzoni lakini inaweza kuwashwa na mtumiaji wakati wowote. Kanuni za ugunduaji zinaweza pia kutumiwa kuamua wakati wa kuonyesha kibodi.
Inaruhusu huduma ya pamoja ya Tafsiri Google kwenye Google Chrome.
Ukiwezesha mpangilio huu, Google Chrome itaonyesha upauzana wa pamoja unaojitolea kutafsiri ukurasa kwa mtumiaji, inapohitajika.
Ukilemaza mpangilio huu, watumiaji hawataona tena upau wa utafsiri.
Ukiwezesha mpangilio huu, watumiaji hawawezi kubadilisha au kufuta mpangilio kwenye Google Chrome.
Ikiwa mpangilio huu utasalia kama haujawekwa mtumiaji anaweza kuamua kutumia au kutotumia kitendaji hiki.
Blocks access to the listed URLs.
This policy prevents the user from loading web pages from blacklisted URLs. The blacklist provides a list of URL patterns that specify which URLs will be blacklisted.
Each URL pattern can either be a pattern for local files or a generic URL pattern. Local file patterns are of the format 'file://path', where path should be an absolute path to block. All file system locations for which that path is a prefix will be blocked.
A generic URL pattern has the format 'scheme://host:port/path'. If present, only the specified scheme will be blocked. If the scheme:// prefix is not specified, all schemes are blocked. The host is required and can be a hostname or an IP address. Subdomains of a hostname will also be blocked. To prevent blocking subdomains, include a '.' before the hostname. The special hostname '*' will block all domains. The optional port is a valid port number from 1 to 65535. If none is specified, all ports are blocked. If the optional path is specified, only paths with that prefix will be blocked.
Exceptions can be defined in the URL whitelist policy. These policies are limited to 1000 entries; subsequent entries will be ignored.
If this policy is not set no URL will be blacklisted in the browser.
Inaruhusu ufikivu kwenye URL zilizoorodheshwa, kama vizuizi katika orodha ya kuondoa idhini ya URL.
Angalia maelezo ya sera ya uzuiaji wa URL ya umbizo la maingizo ya orodha hii.
Sera hii inaweza kutumiwa kufungua vizuizi ili kuondoa vikwazo kwenye orodha zilizozuiwa. Kwa mfano, '*' inaweza kuondolewa idhini ili kuzuia maombi yote, na sera hii inaweza kutumiwa kuruhusu ufikiaji katika orodha chache za URL. Inaweza kutumiwa ili kufungua vizuizi katika mipango fulani, vikoa vidogo, poti, au vijia bainifu.
Kichujio muhimu zaidi kitathibitisha iwapo URL imezuiwa au kuruhusiwa. Orodha ya kuidhinisha inapewa kipau mbele kuliko orodha ya kuondoa idhini.
Sera hii imetengewa tu maingizo 1000; maingizo yanayofuata yatapuuzwa.
Iwapo sera hii haijawekwa hakutakuwa na ruhusa katika orodha ya kuondoa idhini kutoka sera ya 'URLBlacklist'.
Pima muda wa kuwaka wa kifaa kwa kuratibu kuwasha tena kiotomatiki. Sera hii inapowekwa, inabainisha urefu wa muda wa kuwaka wa kifaa baada ya upi uwashaji tena kiotomatiki utaratibiwa.
Sera hii isipowekwa, muda wa kuwaka wa kifaa hauna kipimo.
Ukiweka sera hii, watumiaji hawawezi kuibadilisha au kuifuta.
Kuwasha tena kiotomatiki huratibiwa kwa wakati uliochaguliwa lakini kunaweza kucheleweshwa kwenye kifaa hadi saa 24 kama mtumiaji anatumia kifaa kwa sasa.
Kumbuka: Kuwasha tena kiotomatiki kunawashwa wakati skrini ya kuingia katika akaunti inaonyeshwa au kipindi cha programu ya kioski kinaendelea kwa sasa. Hii itabadilika siku zijazo na sera itatumika kila wakati, bila kujali iwapo kipindi cha aina yoyote kinaendelea ua la. Thamani ya sera inapaswa kubainishwa katika sekunde. Thamani huwekwa pamoja ili iwe angalau 3600 (saa moja).
Sanidi picha ya ishara ya mtumiaji.
Sera hii inakuruhusu kusanidi picha ya ishara inayowakilisha mtumiaji kwenye skrini ya kuingia katika akaunti. Sera huwekwa kwa kubainisha URL ambayo Google Chrome OS inaweza kupakua picha ya ishara na alama ya reli ya kusimba inayotumiwa kuthibitisha uadilifu wa kipakuzi. Picha lazima iwe katika muundo wa JPEG, ukubwa wake usizidi kB 512. URL lazima iweze kufikiwa bila uthibitishaji wowote.
Picha ya ishara hupakuliwa na kuakibishwa. Itapakuliwa tena wakati wowote URL au alama ya reli inapopakuliwa.
Sera lazima ibainishwe kama mfuatano unaoonyesha URL na alama ya reli katika muundo wa JSON, ifanane na muundo ufuatao: { "type": "object", "properties": { "url": { "description": "URL ambayo picha ya ishara inaweza kupakuliwa.", "type": "string" }, "hash": { "description": "Alama ya reli ya SHA-256 ya picha ya ishara.", "type": "string" } } }
Iwapo sera hii imewekwa, Google Chrome OS itapakua na kutumia picha ya ishara.
Iwapo utaweka sera hii, watumiaji hawataweza kuifuta.
If the policy is left not set, the user can choose the avatar image representing him/her on the login screen.
Configures the directory that Google Chrome will use for storing user data.
If you set this policy, Google Chrome will use the provided directory regardless whether the user has specified the '--user-data-dir' flag or not.
See https://www.chromium.org/administrators/policy-list-3/user-data-directory-variables for a list of variables that can be used.
If this policy is left not set the default profile path will be used and the user will be able to override it with the '--user-data-dir' command line flag.
Hudhibiti jina la akaunti Google Chrome OS inayoonekana kwenye skrini ya kuingia kwa ajili ya akaunti ya kifaa cha karibu nawe inayolingana.
Iwapo sera hii itawekwa, skrini ya kuingia itatumia uzi uliobainishwa katika kichaguaji cha kuingia kilicho na picha kwa ajili ya akaunti ya kifaa cha karibu nawe inayolingana.
Iwapo sera itaachwa bila kuwekwa, Google Chrome OS itatumia Kitambulisho cha akaunti ya barua pepe ya akaunti ya kifaa cha karibu nawe kama jina la onyesho kwenye skrini ya kuingia.
Sera hii inaapuzwa kwa akaunti za mtumiaji wa mara kwa mara.
Ruhusu au kataza kupiga picha ya video.
Kama imewashwa au haijasanidiwa (chaguo-msingi), mtumiaji ataombwa ufikiaji wa kupiga picha ya video isipokuwa kwa URL zilizosanidiwa katika orodha ya VideoCaptureAllowedUrls ambayo itapewa ufikiaji bila maombi.
Wakati sera hii imezimwa, mtumiaji kamwe hataombwa na uchukuaji wa video utapatikana tu kwa URL iliyosanidiwa katika VideoCaptureAllowedUrls.
Sera hii huathiri aina zote za vifaa vya kuingiza video na si tu kamera iliyojengewa ndani.
Patterns in this list will be matched against the security origin of the requesting URL. If a match is found, access to audio capture devices will be granted without prompt.
NOTE: Until version 45, this policy was only supported in Kiosk mode.
Huwasha uboreshaji wa WPAD katika Google Chrome na huzuia watumiaji kubadilisha mipangilio hii.
Kuweka hii ikiwa imewashwa husababisha Google Chrome kusubiri muda mfupi zaidi kwa seva za WPAD zinazotegemea DNS.
Sera hii ikiachwa bila kuwekwa, hii itawashwa na mtumiaji hataweza kuibadilisha.
Configure wallpaper image.
This policy allows you to configure the wallpaper image that is shown on the desktop and on the login screen background for the user. The policy is set by specifying the URL from which Google Chrome OS can download the wallpaper image and a cryptographic hash used to verify the integrity of the download. The image must be in JPEG format, its file size must not exceed 16MB. The URL must be accessible without any authentication.
The wallpaper image is downloaded and cached. It will be re-downloaded whenever the URL or the hash changes.
The policy should be specified as a string that expresses the URL and hash in JSON format, conforming to the following schema: { "type": "object", "properties": { "url": { "description": "The URL from which the wallpaper image can be downloaded.", "type": "string" }, "hash": { "description": "The SHA-256 hash of the wallpaper image.", "type": "string" } } }
If this policy is set, Google Chrome OS will download and use the wallpaper image.
If you set this policy, users cannot change or override it.
If the policy is left not set, the user can choose an image to be shown on the desktop and on the login screen background.
Enable showing the welcome page on the first browser launch following OS upgrade.
If this policy is set to true or not configured, the browser will re-show the welcome page on the first launch following an OS upgrade.
If this policy is set to false, the browser will not re-show the welcome page on the first launch following an OS upgrade.